Picture za base ya US iliopigwa na Iran

Picture za base ya US iliopigwa na Iran

Si unaona?? Ana retaliate my retaliation which was the retaliation of his retaliationila kashaumbuka kaweka mini humu kumbe anatuuzia pini na password ni 'no password'
Nisha mchana kwamba sio fresh nadhani ujumbe ulichelewa kufika kabla ya huu alioutuma
 
Wewe wala hata sitahangaika sana,makohozi kidogo tu pin ndogo yako itaachia.
Si unaona?? Ana retaliate my retaliation which was the retaliation of his retaliationila kashaumbuka kaweka mini humu kumbe anatuuzia pini na password ni 'no password'

dodge
 
Tena umechelewa sana kujua.

Trump ni genius sana,na kama ilivyo kawaida mimi,wewe wote ni shitholes tu.
Piga hesabu jamaa alikua anamatatizo ya akili lakini kakuzidi wewe ambaye uko tayari kumtusi mwenzako kisa kuitetea iran

Sasa hapo mbona trump namuona kichaa aliye genius, katuita shithole kwa logic kubwa japo anamatatizo na alichokisema leo hii mmekithibitisha

dodge
 
Wewe wala hata sitahangaika sana,makohozi kidogo tu pin ndogo yako itaachia.

dodge
We jamaa mbona mgumu sana kukubali yaishe utafikiri mshkaji kakuchukulia mke?
 
Tena umechelewa sana kujua.

Trump ni genius sana,na kama ilivyo kawaida mimi,wewe wote ni shitholes tu.

dodge
Nacho shangaa ni kwamba sisi mashithole ndio tumekua wakwanza kumponda trump wakati ametuzidi, hivi hili swala wewe kama shithole mwenzangu unalichukuliaje?
 
Nacho shangaa ni kwamba sisi mashithole ndio tumekua wakwanza kumponda trump wakati ametuzidi, hivi hili swala wewe kama shithole mwenzangu unalichukuliaje?
Kwa kweli shithole mwenzangu naona trump ni jembe among shitholes,kwa hio yuko vzr.

dodge
 
Sasaivi Iran inaonekana chungu sana aiseee kwa mataifa ya magharibi, Umoja wao ndio ulipowafikisha apa, hongera sana Iran kwa ujasiri uliouonesha, hapa nimejifunza ktk maisha apana kukata tamaa licha ya changamoto unazopitia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona akili zinawarudi baada ya kichapo BREAKING: The House passed a war powers resolution that limits President Trump's ability to wage war in Iran. It blocks U.S. military force against Iran without Congress's approval or declaration of war. AJ+ on Twitter

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasaivi Iran inaonekana chungu sana aiseee kwa mataifa ya magharibi, Umoja wao ndio ulipowafikisha apa, hongera sana Iran kwa ujasiri uliouonesha, hapa nimejifunza ktk maisha apana kukata tamaa licha ya changamoto unazopitia


Sent using Jamii Forums mobile app

'hapa nimejifunza ktk maisha apana kukata tamaa licha ya changamoto unazopitia'.

Wise words mkuu.

Safi sana.

dodge
 
Back
Top Bottom