mbona ni vi ngalawa vya kuvulia samaki na wapemba?US navy
mbona ni vi ngalawa vya kuvulia samaki na wapemba?US navy
Mkuu ngoja nikupe ishu..
Hizi ndo sababu zinazotafutwa kumfanya IRAN tha bad guy halafu ndo apigweOff target za jamaa yako zitampelekea pabaya kuna siku atakuja kulipua hadi ndege zake
Mkuu ngoja nikupe ishu..
USA hawezi kwenda vitani kwa sababu ndogo kama ile.
Dunia ingemtenga, saivi anatafuta sababu ya maana ndomana pamoja na kujifanya kutafuta suluhu hushangai anaongeza askari na silaha mashariki ya pwani???
Fumbua macho aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Madege meengi mwishowe wanaomba yaishe,hahah.
Hahah US anatafuta sababu tangu 1979 mpk leo hajazipata sio?Hizi ndo sababu zinazotafutwa kumfanya IRAN tha bad guy halafu ndo apigwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikia anajifunza shabaha kapiga off target unalipua base za kijeshi halafu hakuna aliyepata mchubuko?Kwani haya mameli yalifichwa wapi kipindi Iran anazidunda base za Us?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yako special kwa ajili ya kupigia picha na kuweka mitandaoni tu,huko field hayana kazi yanaweza kufanya.Kwani haya mameli yalifichwa wapi kipindi Iran anazidunda base za Us?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hayo yote takataka mbele ya missile..US navyView attachment 1317722View attachment 1317723View attachment 1317724View attachment 1317725View attachment 1317726View attachment 1317727View attachment 1317728View attachment 1317729View attachment 1317730View attachment 1317731View attachment 1317732View attachment 1317733View attachment 1317734View attachment 1317735View attachment 1317736View attachment 1317737
Ww unafikir USA angesema ukweli? Kaamua kunyamaza kimya ili kuficha aibu maana kwa tambo alizokuwa anajitamba Trump halafu unapigwa kwenye kambi zako wakat huo anayekupiga amekutaarifu kuwa ntakuja kupiga mbaya zaidi umejitapa kuwa una jeshi bora na intelligence bora halafu unapigwa Mara moja kwanini asifiche kuwa hajapigwa?Alikia anajifunza shabaha kapiga off target unalipua base za kijeshi halafu hakuna aliyepata mchubuko?
It's Scars
Iran ni muongo na mwanzo nilivyosema kua huyu jamaa anacheza na majukwaa mkajua natania leo hii amekiro mwenyewe kua hakuna mtu aliyejuruhiwa katika shambulio lake huko iraqWw unafikir USA angesema ukweli? Kaamua kunyamaza kimya ili kuficha aibu maana kwa tambo alizokuwa anajitamba Trump halafu unapigwa kwenye kambi zako wakat huo anayekupiga amekutaarifu kuwa ntakuja kupiga mbaya zaidi umejitapa kuwa una jeshi bora na intelligence bora halafu unapigwa Mara moja kwanini asifiche kuwa hajapigwa?
Huko wenzako wanafarakana wana laumiana Trump analaumiwa na bunge lake na kapigwa marufuku kujiamlia mambo ya vita..
Achana na mwarabu, ogopa sana mtu mzima anatoa hivi halafu ukabaki salama
View attachment 1318322
Sent using Jamii Forums mobile app
Missles noma sana hizo,Twitter sasa hivi kimyaaaaaa.
Wigi lote limedondoka.
dodge