nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Sunday, February 3, 2013
at 4:13 AM
at 4:13 AM
Wajameni TUKO NNJE na TUMECHOKA hivi ndio Sababu Twakimbilia KADI za CCM???
Wajameni TUKO NNJE na TUMECHOKA hivi ndio Sababu Twakimbilia KADI za CCM???
Wenzao wa nyumbani wameichoka CCM, wabeba box wamechoka kubeba box wanataka kuja pakuanzia kutoka kimaisha kwa ufisadi. Nyani Ngabu yupo hapo? au yeye hana njaa kama hawa wasio na aibu kushabikia Chama Cha Mafisadi?
Sunday, February 3, 2013
at 4:13 AM
Utamjuaje mtu kama amechoka kwa kumwangalia kwenye picha tuu?
Ya kweli hayo?Thubutu yake! Mimi na siasa za kipumbavu za CCM wapi na wapi? Sina kabisa muda huo.
Mbwembwe zingine bana! sijawahi ona wamarekani wakikabidhiana kadi za republican au democratic hapa bongo.
Iweje sisi kwao?