Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,893
- 2,777
Wameokoteza vijana huko njiani ili wapige picha. Wala hawana bashasha na kinachoendelea hapo. Na watu wa Moshi hawadanganyiki tena.
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
hivi kuna maeneo ambapo bado CCM na NAPE wana wafuasi?
Una ushahidi na unayoyasema?
Kuhusu ukabila ni ndani ya chadema lakini sio nje ya chadema.
Mimi binafsi my political idol wangu ni Augustine Lyatonga Mrema ambaye ni mchaga hata kiswahili tu kinamsuta. Ninapenda sana siasa alizotumia Mrema alipokuwa mambo ya ndani na kama leo ungeniuliza nani chaguo langu kuwa waziri wa mambo ya ndani nitamtaja Mrema. Pia wako akina Sokoine, Muhidin Kimario, Tumaineli kiwelu, Omary Mahita, Edward Lowassa nk. Hao wote niliowataja kama sio wachaga basi wanatoka kaskazini sasa sijui ukabila unakuja wapi hapo
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
ccm wanaugonjwa wa kurithi ktk ujamaa,wanaogopa sana watu wenye akili na kujituma hata km hawajasosoma.wammaogopa siasa za kistaarabu km mwizi na taa.wanapenda singizia wengine wanaposhidwa.walizoea singizia mabepariKila siku nasema mkiwa waongo mkumbuke kuweka kumbukumbu...hukumbuki nape aliposema hawezi kwenda CHADEMA kwani yeye si mchagga alimaanisha nini?
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
Friday, April 5, 20DADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohammed baada ya kuwasilili jioni hii kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo mjini Moshi. Kesho Nape anatarajiwa
kufungua semina ya H Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohammed baada ya kuwasilili jioni hii kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo mjini Moshi. Kesho Nape anatarajiwa kufungua semina ya Halmashauri Kuu ya Mkoa huo ya CCM na baadaye kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Moshi.o ya CCM na baadaye kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Moshi.
Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Steven Kazidi (wapili kushoto) akimtambulisha Mwenyekiti wa UVCCM mkoa huo, Frederick Mushi kwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Moshi Mjini Elizabeth Minde.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu na Kijana wa CCM baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanajro mjini Moshi jioni hii.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kucharaza ngoma, iliyokuwa inapigwa na kundi la sanaa la CCM, baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro jini Moshi jioni hii.
Katika ziara hiyo Nape ameambatana na Vijana waliojiengua hivi karibu kutoka Chadema, Mtela Mwampanga na aliyekuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, Juliana Shonza. Pichani, Mwampamba na Shonza Katika ziara hiyo Nape ameambatana na Vijana waliojiengua hivi karibu kutoka Chadema, Mtela Mwampanga na aliyekuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, Juliana Shonza. Pichani, Mwampamba na Shonza wakisalimiana na vijana wenzao ambao pia wamehamia CCm hivi karibuni kutoka Chadema mkoani Kilimanjaro, David Waryoba (kushoto) na Yona Makwaya (wapili kushoto)zao ambao pia wamehamia CCm hivi karibuni kutoka Chadema mkoani Kilimanjaro, David Waryoba (kushoto) na Yona Makwaya (wapili kushoto)
Vijana wakimsubiri Nape kwa shauku alipowasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii.
- Nape akitia saini kwenye kitabu cha wageni, katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Iddi Mohammed. (Picha zote na Nape akitia saini kwenye kitabu cha wageni, katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Iddi Mohammed. ashir Nkoromo wa
POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT FRIDAY, APRIL 05, 2013
Ndani ya moshi mjini ziarani kichama Juliana shonza kada,Mwenyekiti uvccm mkoa wa kilimanjaro fredy Mushi na aliekuwa kamanda wa chadema (katibu wa chaso Ardhi) kada Yona Makwaia
Mkutanoni Magari Mengi zaidi ya Wasikilizaji?