haswa hao wananchi wakiwa wanaongozwa na UMANGI... A.K.A UKASKAZINIWananchi wanaojua NA KUELEWA MAMBO lazima watawapuuza tu safi sana wananchi wa njoro.
haswa hao wananchi wakiwa wanaongozwa na umangi... A.k.a ukaskazini
UNAJUA FIKA KITU NINACHOKIONGELEA... nitasimamia ukweli daima hata kama nitabaki peke yangu dhidi ya dunia nzima.. mapenzi na ushabiki hayawezi kunipofusha nikaukataa ukweli ulio dhahiri mbele ya macho yangu....wale wale wa ukabila na udini badilika,pole sana hachana na mawazo mpauko.
Kwa hiyo kwa kuwa CHADEMA wamejulia siasa ukubwani; unataka utuambie ndio maana wamekuwa wakifanya siasa za kikubwa kadhalika, ukilinganisha na vyama vingine!Viongozi wengi wa CHADEMA siasa wamezijulia ukubwani ndiyo maana kwa kuliona hilo chama kilipewa hela kikajenge chuo cha kuwafundisha siasa lakini hadi leo chuo hakijajengwa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
UNAJUA FIKA KITU NINACHOKIONGELEA... nitasimamia ukweli daima hata kama nitabaki peke yangu dhidi ya dunia nzima.. mapenzi na ushabiki hayawezi kunipofusha nikaukataa ukweli ulio dhahiri mbele ya macho yangu....
"Vijana jihadharini sana na hawa Chadema, msipumbazike na kugeuzwa asusa zao, maana wao huandaa maandamano ili wawapige picha kisha picha hizo huzipeleka kwa wafadhili wao kwa ajili ya kujipatia fedha, je na ninyi fedha hizo huwa mnapewa" hoja iliyoonekana kupuuzwa na wananchi wa Njoro pengine kwa kuwa walitegemea kusikia hoja za namna hii kutoka kwa mtu huyu.
MKUU HOJA YA COMMENT YANGU ILIJIKITA HAPO!!!
Kwa hiyo kwa kuwa CHADEMA wamejulia siasa ukubwani; unataka utuambie ndio maana wamekuwa wakifanya siasa za kikubwa kadhalika, ukilinganisha na vyama vingine!
haswa hao wananchi wakiwa wanaongozwa na UMANGI... A.K.A UKASKAZINI