Pichani: NAPE ATINGA MOSHI

Pichani: NAPE ATINGA MOSHI

Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

Wewe unaishi UK haujaona na kusikia MATUSI ya NAPE dhidi ya WACHAGGA kwa CHADEMA anaangalia jina la MWISHO TU Majibu yake kwa huyo MTU ni tofauti kabisa ana-MJUDGE kabisa kuwa tayari ni CHADEMA hata kama ni Masuala yasiyo husu VYAMA vya SIASA... that's reverse discrimination... yaani kwasababu ni Katibu Mwenezi wa CCM; Lakini hicho cheo sio cha MAISHA kwake... anajenga UADUI; baada ya Miaka Miwili Anakuja Rais Mwingine na atapenda KAMATI KUU ya MRENGO wake... Sasa Nape kabomoa Madaraja KILIMANJARO; ARUSHA na ni yeye Mwenyewe...

Siasa sio kubomoa BRIDGES; ni kujenga BRIDGES wakati ukianguka kuna sehemu utarushiwa kamba kukusitiri...

Don't burn all bridges... Hawezi kukimbilia nje ya NCHI - Jinsi Serikali ya Awamu hii ilivyo undecided na kuruhusu Matabaka sidhani serikali za Mataifa ya NJE yana IMANI na SERIKALI TAWALA ya CHAMA HIKI...
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

lukosi unaweza tukwenda we si mwenzao ccp
 
wakuu naomba ufafanuzi wa matumizi ya haya maneno kama yanafanana......
Kuenguliwa vs kufukuzwa

Kuenguliwa....... Kuondolewa kwenye cheo kwa hekima na heshima...

Kufukuzwa........ Kuondolewa kwenye cheo bila heshima; kwa karipio in UPPER CASE!!!
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
We Jamaa ubongo wako umefanyaje? Mbona huwezi kufikiri vyema? Juzi tu wakati wa mikakati ya maandamano ya kumtoa Kawambwa madarakani, kuna mzee wa CCM alisema kuwa kwanini CHADEMA haianzii kufanya maandamano Moshi? Kanakwamba CHADEMA ni chama cha wachaga na Moshi hakuna watu wenye itikadi nyingine, leo hii wewe unaibuka na story nyingine tena. Huijui CCM wewe, huwezi kuitetea mbele ya watu ukaeleweka.
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

1. OCD (Obsessive Compulsive Disorder)
2. DG (Delusions of Grandeur)
3. CLD (Compulsive Lying Disorder)
4. ASPD (Attention Seeking Personality Disorder)
5. ODD (Oppositional Defiant Disorder)
6. MPD (Multiple Personality Disorder)
7. LD (Literacy Disorders) Nenda kayatibu kwanza yaani wewe mdingi unajaza thread tu ilimradi usipitwe
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

Nadhani sasa wanajuta kuijua Ccm wanatafuta pakutokea.Nahuyo Nape nadhani atakuwa ameshayasahau matamshiyake kama mwenzie Wasira mana viongozi wa Ccm kwakusahau hawana mfano.Vinginevyo Nape hazimtoshi kichwani na tunasubiri tusikie ugorowake huko!
 

Sasa kwenye MKUTANO SHONZA na MWAMPEMBA watamsema VIBAYA MBOWE? Na NAPE ataongelea CHADEMA kuwa ni CHA WACHAGGA?

Itakuw a GOOD DEMOCRACY kama atawambia jinsi anavyowakandia kuna MSEMO MSEMA KWELI HAUAWI!!!

Haha Swali Zuri kweli kweli....naona vijana waliosimama ni watoto walioletwa na baba zao waliopo CCM zi vijana hata wanaoweza itwa vijana.

Akisema ni cha wachaga ndio safi ili wao waulize km CCM si ya wachaga, na kama wachaga hawastahili kuwa sehemu ya chama.Pengine awe anawahutubia watuw a Dar streel, mabogini na kule pasua, wengi ni makabila ya kupita yanaishi mjini kwa vile hawana nyumba na wageni.
 
waacheni waendelee kuweweseka, siku zinakuja hawatapata nafasi ya kuitukana chadema
 

Wewe unaishi UK haujaona na kusikia MATUSI ya NAPE dhidi ya WACHAGGA kwa CHADEMA anaangalia jina la MWISHO TU Majibu yake kwa huyo MTU ni tofauti kabisa ana-MJUDGE kabisa kuwa tayari ni CHADEMA hata kama ni Masuala yasiyo husu VYAMA vya SIASA... that's reverse discrimination... yaani kwasababu ni Katibu Mwenezi wa CCM; Lakini hicho cheo sio cha MAISHA kwake... anajenga UADUI; baada ya Miaka Miwili Anakuja Rais Mwingine na atapenda KAMATI KUU ya MRENGO wake... Sasa Nape kabomoa Madaraja KILIMANJARO; ARUSHA na ni yeye Mwenyewe...

Siasa sio kubomoa BRIDGES; ni kujenga BRIDGES wakati ukianguka kuna sehemu utarushiwa kamba kukusitiri...

Don't burn all bridges... Hawezi kukimbilia nje ya NCHI - Jinsi Serikali ya Awamu hii ilivyo undecided na kuruhusu Matabaka sidhani serikali za Mataifa ya NJE yana IMANI na SERIKALI TAWALA ya CHAMA HIKI...
Una ushahidi na unayoyasema?
Kuhusu ukabila ni ndani ya chadema lakini sio nje ya chadema.
Mimi binafsi my political idol wangu ni Augustine Lyatonga Mrema ambaye ni mchaga hata kiswahili tu kinamsuta. Ninapenda sana siasa alizotumia Mrema alipokuwa mambo ya ndani na kama leo ungeniuliza nani chaguo langu kuwa waziri wa mambo ya ndani nitamtaja Mrema. Pia wako akina Sokoine, Muhidin Kimario, Tumaineli kiwelu, Omary Mahita, Edward Lowassa nk. Hao wote niliowataja kama sio wachaga basi wanatoka kaskazini sasa sijui ukabila unakuja wapi hapo
 
Siyo kila mchagga ni chadema lakini chadema ni chama cha kichagga?Uje kufanya nini?Hatutaki wanafiki na watu wenye "two faces".
Wachagga hao hao mnaowaponda humu kila kukicha ndiyo hao hao unaowapa credibility kuwa wamechagua wabunge wa ccm,na kudai eti ungekuwa na muda ungekuja,uje utuambie nini?
Una ushahidi na unayoyasema?
Kuhusu ukabila ni ndani ya chadema lakini sio nje ya chadema.
Mimi binafsi my political idol wangu ni Augustine Lyatonga Mrema ambaye ni mchaga hata kiswahili tu kinamsuta. Ninapenda sana siasa alizotumia Mrema alipokuwa mambo ya ndani na kama leo ungeniuliza nani chaguo langu kuwa waziri wa mambo ya ndani nitamtaja Mrema. Pia wako akina Sokoine, Muhidin Kimario, Tumaineli kiwelu, Omary Mahita, Edward Lowassa nk. Hao wote niliowataja kama sio wachaga basi wanatoka kaskazini sasa sijui ukabila unakuja wapi hapo
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

Umezaliwa bila aibu, ni tabia au ugonjwa?...mambo unayoongea na umri wako..na jinsi ulivyo..! nia aibu kubwa!!
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

Na Rais hatatoka Kaskazini????
Kauli za vijana na wazee wa CCM ndizo zinazokishusha hadhi chama..Maadui ni kauli zenu na wanachama wachanga waliotoka vyama vyenye itikadi tofauti na CCM kupewa nafasi ya kufanya siasa maji taka badala ya kujenga chama...go on
 
Siyo kila mchagga ni chadema lakini chadema ni chama cha kichagga?Uje kufanya nini?Hatutaki wanafiki na watu wenye "two faces".
Wachagga hao hao mnaowaponda humu kila kukicha ndiyo hao hao unaowapa credibility kuwa wamechagua wabunge wa ccm,na kudai eti ungekuwa na muda ungekuja,uje utuambie nini?
Pia ngoja nikuambie kitu kimoja,
Wewe ndio unataka kuleta ukabila kwa sababu tayari ndani ya chadema mnao ukabila.
Mimi nimekaa Moshi mwaka mmoja nilipokuwa CCP na baada ya mfunzo nimefanya kazi moshi mjini kwa miezi sita.
Tanzania hakuna ukabila ila wajinga wachache walioko ndani ya chadema ndio wanaotaka kuleta ukabila.
Juzi tu hapa nilileta uzi wa kumtetea rafiki yangu mkubwa ambaye ni mpare mtu ambaye nyinyi kutokana na kuwa ni polisi mnamchukia.
Hiyo dhana ya ukabila ni nyie wenyewe mnaoileta na kujaribu kuipenyeza lakini haitafanikiwa
 
Masalia wanatumika ndivyo sivyo ila siku kikiwanukia wataikunbuka CDM kwenye ufalme wake!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Una ushahidi na unayoyasema?
Kuhusu ukabila ni ndani ya chadema lakini sio nje ya chadema.
Mimi binafsi my political idol wangu ni Augustine Lyatonga Mrema ambaye ni mchaga hata kiswahili tu kinamsuta. Ninapenda sana siasa alizotumia Mrema alipokuwa mambo ya ndani na kama leo ungeniuliza nani chaguo langu kuwa waziri wa mambo ya ndani nitamtaja Mrema. Pia wako akina Sokoine, Muhidin Kimario, Tumaineli kiwelu, Omary Mahita, Edward Lowassa nk. Hao wote niliowataja kama sio wachaga basi wanatoka kaskazini sasa sijui ukabila unakuja wapi hapo

Wewe uko kambi ya Lowassa au Membe au jeshi la mtu mmoja Sitta???
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa, Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
na usije make na maugonjwa yako uliyonayo ungepiga watu mawe subiri upone ndo uje
 
Una ushahidi na unayoyasema?
Kuhusu ukabila ni ndani ya chadema lakini sio nje ya chadema.
Mimi binafsi my political idol wangu ni Augustine Lyatonga Mrema ambaye ni mchaga hata kiswahili tu kinamsuta. Ninapenda sana siasa alizotumia Mrema alipokuwa mambo ya ndani na kama leo ungeniuliza nani chaguo langu kuwa waziri wa mambo ya ndani nitamtaja Mrema. Pia wako akina Sokoine, Muhidin Kimario, Tumaineli kiwelu, Omary Mahita, Edward Lowassa nk. Hao wote niliowataja kama sio wachaga basi wanatoka kaskazini sasa sijui ukabila unakuja wapi hapo
kwani kama ungeweka hivi si wangeelewa usitujazie thread bana jibu moja una mquot kila mtu wamention tu
nngu007 jmushi1 inatosha na watapata message yako
 
Last edited by a moderator:
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia

Kwa hiyo CCM ni chama cha wachaga?
 
Back
Top Bottom