Mboweee sijui Lisuu amd the likes, ni wachumia tumbo wote walee kama akina Slaaa..Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amekutana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda msibani kwa Hayati Edward Lowasa.
View attachment 2906552
📹 AyoTv
✍️ Mjanja M1
Mshana jr anaamini Siasa ni Uadui 😂Siku zote siasa ni kama mchezo, unajua ukiwa wapi useme na kufanya nini, na ukiwa wapi pengine ufanye na kusema kitu gani
Bahati mbaya huku JF wengi huichukulia siasa kama kazi rasmi, matokeo yake ni kuwa serious muda wote, matusi, hasira, mtakuja kufa kwa pressure bure.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ni mjinga pekee ataamin kuwa Lissy alisema magufuli naye ni shujaa.😂😂😂
Lisu: Kwa Umaarufu akitoka Nyerere anafuatia Lowassa halafu Shujaa Magufuli
Wapo wengi hao bwashee...huwa nawatazama tu wanavyojitesa.Mshana jr anaamini Siasa ni Uadui