Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

20220610_155114.jpg
 
Nchi hii haitakaa ipewe tena kwa dhalimu wa vile.
Udhalimu unaujua wewe! Halafu hii lugha ya kusema nchi haitakaa ipewe mtu kama yule, wewe binadamu mwenzangu huwa unaipata wapi aisee!

Nchi hii, hata JPM alikuwa mpole, hakufanya kile kilitakiwa, haiwezekani wachache tuu ndio wawe na hati miliki ya nchi hii, wanajilia nchi watakavyo, wengine mnaishia kutozwa kodi tuu halafu wanaenda kugawana hapo juu!!

Binafs nataka aliye zaidi ya JPm
 
Waache ubishi kikundi cha hao watu wachache kisumbue akili za watu wengine.
 
...Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi..!
Hakuna kesi hapo, ni swala la muda tu.
 
Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Duu, cheap rhetoric from cannavaro, my ndugu it is more than you think. The Gov. should be more careful than turning it into politics. I cannot imaging Bunge and The GOV instead of looking for the solution they are focusing to shut down the media and wanaharakati. Hii nalo sii utatuzi, kumtafuta aliereport sio utatuzi kwani ni waongo? Je wamasai wote walikubali kuhama? Kauli ya Spika sii nzuri ni ya kuleta vurugu na mateso kwa wanaharakati na kuitwa wachochezi sio sahihi. Nchi haipaswi kuongozwa kwa ubabe na vitisho viashiria vyote mmevianzisha kwa kugrade maineo yao kuwa mbuga za hifadhi hapo hapo Bungeni kupitia Wizara ya mailasili je hizi si chanzo cha mgogoro kama mliamua hili bila kuwashirikisha?. Kaeni chini na wamasai muelewane hao mnaowaita wachochezi hawatapata nafasi bali wataaibika.
 
Serikali na Taifa lina haki ya kulinda rasilimali zake. Sasa kama hawataki kutii mamlaka halali lazma hazina ya Taifa Ngorongoro ilindwe kwa gharama yoyote. Ngorongoro na Loliondo Sio mali ya Wamasai wengi ni wahamiaji na wavamizi tuu waondoke mara moja. Vinginevyo watachakaa.
 
Serikali na Taifa lina haki ya kulinda rasilimali zake. Sasa kama hawataki kutii mamlaka halali lazma hazina ya Taifa Ngorongoro ilindwe kwa gharama yoyote. Ngorongoro na Loliondo Sio mali ya Wamasai wengi ni wahamiaji na wavamizi tuu waondoke mara moja. Vinginevyo watachakaa.
Waondolewe ili akae /amilikishwe mwarabu sio....!!?🤔
 
Udhalimu unaujua wewe! Halafu hii lugha ya kusema nchi haitakaa ipewe mtu kama yule, wewe binadamu mwenzangu huwa unaipata wapi aisee!

Nchi hii, hata JPM alikuwa mpole, hakufanya kile kilitakiwa, haiwezekani wachache tuu ndio wawe na hati miliki ya nchi hii, wanajilia nchi watakavyo, wengine mnaishia kutozwa kodi tuu halafu wanaenda kugawana hapo juu!!

Binafs nataka aliye zaidi ya JPm

Kwani kipindi cha dhalimu kila mtu alikuwa anakula, au kundi lake ndio lilikuwa linafaidi? Au unadhani tulikuwa hatuoni?
 
Back
Top Bottom