PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

Good Lucky JPM. Lakini hizi fimbo mikononi zina zinatueleza nini? Just wondering. And I like the casual look ya P. Kagame. No suits na matai matai mitaani.
 
Hivi mzee wetu alieahidi kurudi kuchunga ng'ombe baada ya election katimiza ahadi?
 
Maisha yana enda kasi Sanaa Kutoka mikwala ya mala Kwa mala ya JK Na kagame hadi urafiki wa JPM na Kagame!
 
Good Lucky JPM. Lakini hizi fimbo mikononi zina zinatueleza nini? Just wondering. And I like the casual look ya P. Kagame. No suits na matai matai mitaani.
ng'ombe hawaeleweki anaweza kupanda kichaa mda wowote
 
Hivi mzee wetu alieahidi kurudi kuchunga ng'ombe baada ya election katimiza ahadi?
Yule mzee wa matukio maalum kwa selfie....daladala hajapanda tena, kwa mama ntilie hajarudi, hilo la ng'ombe alienda kupiga picha huku kavaa moka ya nguvu...
Ndo basi tena...
Ni mambo ya 'foto op'..
 
Dressing Code ya First Lady - Mama Janet P. Magufuli kwa kipindi hiki kifupi nimeona kama anapendelea kuvaa nguo za color patterns nyingi. Katika picha hii hapo juu amevaa nguo ambayo kidogo inafanana na ile aliyokuwa nayo kwenye mgahawa airport Mwanza, juzi wakati wa kumuaga Odinga nyumbani Chato, n.k. Ninafamu uchaguzi wa nguo ni taste ya mtu binafsi, lakini nadhani kwa sasa hivi she is a national figure na kwa hali hiyo kila atakacho kifanya kinakuwa kwenye public scrutiny. On the contrary mama Janet Kagame is in black, rangi ambayo inakubalika kama rasmi. Vile vile first ladies wengine kama akina Michele Obama mara nyingi utawaona katika nguo za rangi moja. Hilary Clinton,na wengine wenye nyazifa hizo naona utakuta mara nyingi katika shughuli za kiserikali wanavaa nguo za rangi moja. Mama Salma Kikwete alikuwa ni mpenzi wa kuvaa vitenge/java na kwa hiyo labda hicho kinakubalika kwa sababu sijawahi kuona kitenge au java ya single pattern color. Kwa maana hiyo basi, labda kuna haja personal assistants wa Mama Magufuli kumshauri mwenendo wa aina ya mavazi kulingana na wadhifa wake kwa sasa hivi. I mean, issue ya personal preference kwa sasa hivi aachane nayo.
 
naiona Tanzania ktk ubora wake. ama kweli the spirit of mwl. nyerere is alive to Magufuli
 
Mhima bora umnyime vitu vingine vyote lakini umpe ng'ombe, wanapenda sana maziwa.
 
Is that the only thing you see? Don't impair your vision ability unnecessarily. You must have a source and this world doesn't care much about your originality, but does care a lot about what people do. Comment yako imekaa kiafrika zaidi kuliko kitu kingine
Sio Kiafrika Ndahani imekaa KINAFIKI Na KISHETANI.Hilo jamaa linajuwa Watu wangapi walipoteza maisha Yao kwa kusema alivyo sema huyo JUHA.
 
Msaada tafadhali... hilo daraja la Rusumo au mto Rusumo ndio mpaka wa Tanzania na Ruanda?
 
Nimeipenda hii ya Rwanda angalia wanavyopendeza na inaonekana kabisa ni utamaduni wa Kistaarabu hivyo kwa kuwa kitu kizuri hakuna ubaya kukiiga basi ningependekeza tuige hivi na ile mingoma ngoma yetu ya sijui Sindimba mara kucheza na Mijoka tuiachilie mbali, hii ya Rwanda imekaa poa zaidi inaendana na karne ya 21!


CfW1xc3XEAErq4a.jpg


Hii ya kwetu tuiache, siyo ya kistaarabu!
images
images
images

We should be proud with our heritage, tuone aibu kucheza sindimba kwa kuwa Wanyarwanda hawakati mauno???
 
Back
Top Bottom