PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

Saaafi my Honorable President JPM, naona Paul Kagame anakubeep kubana matumizi (Hajapiga suti) sasa kumuonyesha kwamba wewe ndo muasisi wa kubana matumizi kesho piga pensi na simple kwenye maazimisho ya kimbali.
ha hahaha
 
images
 
I new that could be your response. Ha haaa. Though massage sent.
 
Saaafi my Honorable President JPM, naona Paul Kagame anakubeep kubana matumizi (Hajapiga suti) sasa kumuonyesha kwamba wewe ndo muasisi wa kubana matumizi kesho piga pensi na simple kwenye maazimisho ya kimbali.
ha ha ha we jamaa umeua aiseee.
Bila shaka utakuwa muhandishi uliyepitia yale CoeT
 
Magufuri naona kama anaanza kuwa wa mviringo!!shavu dodo na ualaza unaongezeka kung'aa
 
Nimeipenda hii ya Rwanda angalia wanavyopendeza na inaonekana kabisa ni utamaduni wa Kistaarabu hivyo kwa kuwa kitu kizuri hakuna ubaya kukiiga basi ningependekeza tuige hivi na ile mingoma ngoma yetu ya sijui Sindimba mara kucheza na Mijoka tuiachilie mbali, hii ya Rwanda imekaa poa zaidi inaendana na karne ya 21!


CfW1xc3XEAErq4a.jpg


Hii ya kwetu tuiache, siyo ya kistaarabu!
images
images
images
 
Kila nchi na utamaduni wake.

Hakuna taifa ambalo halina utamaduni wake.

Inawezekana kuna watu/mataifa mengine yanapenda pia utamaduni wetu!

Sometimes you’ll never know the value of what you have until it’s gone!
 
Back
Top Bottom