Utamaduni mwengine ni wakishenzi,haupaswi kuendelezwa.Kila nchi na utamaduni wake.
Hakuna taifa ambalo halina utamaduni wake.
Mjasili haachi asili yake. Stupid post
Unatumia kipimo gani kinachotambulika ili kufahamu utamaduni fulani niwa kishenzi?Utamaduni mwengine ni wakishenzi,haupaswi kuendelezwa.
Utamaduni wa Wamasai wa kujizonga mashuka inafaa seeikali iingilie kati waache maramoja.
Wewe kweli unahitaji tiba ApolloUtamaduni mwengine ni wakishenzi,haupaswi kuendelezwa.
Utamaduni wa Wamasai wa kujizonga mashuka inafaa seeikali iingilie kati waache maramoja.
Unatumia kipimo gani kinachotambulika ili kufahamu utamaduni fulani niwa kishenzi?
Inawezekana kuna wengine wanaamini pia utamaduni wako niwa kishenzi!
Na mizigo yao mikali kweli kweli.Nasubiri picha za warembo wa Kigali mimi ni hayo tu basi
Mtu yoyote anayesema anaenda Rwanda basi mwezenu mawazo yangu ni hayo tu fullstopNa mizigo yao mikali kweli kweli.
We utakuwa mnyarwanda.... kwa hii picha mbona sioni tofauti na sisi.... na kumbuka sisi tuna makabira zaidi ya 120 sasa unaacha nini na kufuata nini wao ni makabira mawili tu.... penda chako bana...
Hilo koti sio bure tu...linamsaidia ku conceal ile pistol yake.
JPM vs PK you'd think they're a reflection of a 'hutu' and 'tutsi, even the body size of their wives!
Kwa mwezi huu wa Aprili Rwanda wanafanya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 kwa hiyo shamrashamra zenye kuhusisha ngoma, muziki, na kila aina ya burudani huwa hazifanyiki hata michezo haifanyiki, kwa hiyo sio kitu cha kuiga hicho, maombolezo hayaigizwi wala hakuna haja ya kuomba uwe na utamaduni wa kuombolezaNimeipenda hii ya Rwanda angalia wanavyopendeza na inaonekana kabisa ni utamaduni wa Kistaarabu hivyo kwa kuwa kitu kizuri hakuna ubaya kukiiga basi ningependekeza tuige hivi na ile mingoma ngoma yetu ya sijui Sindimba mara kucheza na Mijoka tuiachilie mbali, hii ya Rwanda imekaa poa zaidi inaendana na karne ya 21!
![]()
Hii ya kwetu tuiache, siyo ya kistaarabu!
![]()
![]()
![]()