Mhu, Makubwa haya! Vipi huu ni mkutano wa balozi wa nyumba kumi?KINANA,NAPE,KHATIB WATUA MTWARA..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.
KINANA,NAPE,KHATIB WATUA MTWARA..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.
KINANA,NAPE,KHATIB WATUA MTWARA..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.
Kuamka ndio kushabikia CDM? Haya hao wa arusha na moshi wameamka kwenye nini?
NImetoka ss hivi katika mkutano wa CCM nimegundua CCM bila nape hali itakua ngumu'swala la korosho na gesi ni gumu kwa serikali ya chama changu cha CCM,wananchi wa kusini tunauliza kwanini gesi ipelekwe KINYEREZI,GHASIA kajiuma umauma mpaka Nape kaja kumuokoa.kazomea mpaka amepaniki,wanakusini wanataka kujua kwanini huo mtambo uliojengwa KINYEREZI USIJENGWE MTWARA
ccm chukizo sana,,
sasa nimelielewa hili picha,,kwa waliowahi fika mtwara hapo panaitwa makonde beach,,panamilikiwa kwa joint venture ya kijana wa ccm anaitwa maarifa wakishare na police mtwara,,hawa ghasia na mkuchika ndio wahusika na waliofanya kampeni ya kumwingiza mjasiriamali huyu ndani ya ulingo wa siasa hadi kufikia hatua ya kumpa nafasi ya katibu uenezi wa ccm mkoa wa mtwara kwa kura za kishindo ktk uchaguzi huu wa ndani ulioisha hivi karibuni,,
hata rais kikwete alipozuru kule mtwara hili ni eneo ambalo alifikia pia,kwaiyo imekua ni mchezo wa kupeana ulaji na kuzid kutengeneza channel za kupitishia pesa za walipa kodi wa nchi hii
ccm muogopeni mungu
Kamanda umemaliza kila kitu mwenye macho na aone!
Magwanda yanawaka moto,zimamoto iko wapi?
Inawezekana ni kweli chama cha wanyonge,lakini swali la msingi hapa ni kuwa hayo mabilioni ya fedha wanayapata wapi?CHADEMA huwa wanauzaga nini?Wanachama wao basi wanazo, tatizo la CCM ni kwamba chama ni chawanyonge labda ndo maana wanatoa bure.