PICHA: Ziara ya Kinana Mtwara yafana

Tatizo liko kwa wanaopokea hizo khanga na kofia, hao ndio wanatakiwa kulinda utu na heshima zao lakini cha kushangaza ndio wanatangulia kuupuuza utu wao na kujidharau wenyewe! hawa ndio tuwaulize, tabia hii ya kupokea khanga na kofia mtaiacha lini?
Ni kweli kabisa mkuu,unachokisema kinaukweli mkubwa!
 
Si wangeenda Moshi,
Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM?
Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako
siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika
Mbona ratiba ilishatangazwa awali au mnaogopa mdororo wa chama chenu
 
Si wangeenda Moshi, Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM? Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika
kwani huko kote ulikokutaja ambako unahisi chadema pengine inapendwa na kuungwa mkono sana ilipata viti vingapi vya udiwani kwa jumla?
 
[h=1]Mawaziri wazomewa mbele ya Kinana (Mwananchi, Ijumaa 23.11.2012)[/h]“Ghasia na Murji kwanini mnaudanganya umma kwa kupeleka gesi Dar es Salaam, sisi hatuna ubaya na chama ila hatutaki gesi iende huko” alisema Athumani huku akishangiliwa na mamia ya watu waliohudhuria mkutano huo.Kabla ya dada huyo kuteka hisia za wananchi kwa kuwasilisha kero hiyo, Kinana alimruhusu mwananchi mwingine, Issa Kambona ambaye pia alieleza kuwa hakubaliani na suala la gesi hiyo kupelekwa Dar es Salaam

Tunaomba huyu 'SECURITY GUARD' aje kutoa ufafanuzi hapa.

"YOU CAN CHEAT SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CAN'T CHEAT ALL THE PEOPLE AT ALL THE TIMES"
:typing:
 
Back
Top Bottom