Ni kweli kabisa mkuu,unachokisema kinaukweli mkubwa!Tatizo liko kwa wanaopokea hizo khanga na kofia, hao ndio wanatakiwa kulinda utu na heshima zao lakini cha kushangaza ndio wanatangulia kuupuuza utu wao na kujidharau wenyewe! hawa ndio tuwaulize, tabia hii ya kupokea khanga na kofia mtaiacha lini?
Mbona ratiba ilishatangazwa awali au mnaogopa mdororo wa chama chenuSi wangeenda Moshi,
Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM?
Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako
siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika
kwani huko kote ulikokutaja ambako unahisi chadema pengine inapendwa na kuungwa mkono sana ilipata viti vingapi vya udiwani kwa jumla?Si wangeenda Moshi, Mwanza ama Arusha. Kwa nini wameenda Mtwara ambayo ni firewall ya CCM? Najua wakitoka huko wataenda Tanga, Tabora, Singida na Rufiji ambako siku zote ndiko kuna % kubwa ya wadanganyika