Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?
CHADEMA huwa wanauzaga nini?Wanachama wao basi wanazo, tatizo la CCM ni kwamba chama ni chawanyonge labda ndo maana wanatoa bure.
Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?
Maisha ya wananchi wa Mtwara utayalinganisha na huko? Masikini ukimpa hata mlo mmoja wa pilau anakuona wa maana sana mpaka pale atakapo ambiwa yule aliyekupa pilau ndiye aliyekufanya uwe masikini ndipo hasira yake utapoiona. Wakielimika watawapiga maweKuamka ndio kushabikia CDM? Haya hao wa arusha na moshi wameamka kwenye nini?
Hiyo ndiyo tofauti ya Chadema na CCM...chadema inapokelewa na watu wangazi zote lakini wangi wao wachini kabisa lakini CCM utaona watu na vitambi vyao huku wamevaa mavazi ya ya chama, hii inaonyesha kuwa wengi wao ni mabalozi wa nyumba kumikumi, wenyeviti nk bila kusahau familia zao....Kufana kwake ni kuwepo kwa watu au kupokelewa na watu ambao wote wanaonekana wana afya njema na wameshiba hawana matatizo yale yampatayo mwananchi wa hali ya chini kau kufana unakufananishaje mkuu
Maana wanatumia fedha kwenye hizo ziara na wataishia tuu kutoa matamko ambayo mengine hata kazi hayatafanyiwa na mwananchi wa kipato cha chini atabaki na ufukara wake
Je ni nini wanampelekea mwananchi wa chini ambacho kwa miaka kibao ambayo sekretarieti iliyopita walishindwa kukipekeka mpaka waje wanyanyule now two years kabla ya uchaguzi mwingine
Je waliokuwepo akiwepo na Nape tuseme walishindwa kufanya kazi yao
Mtwara kuna tembo wengi karibu na Selous!Huyo jangili anasera gani kama sio kwenda kuongea majingili wenzie.huyo kinana mama yake nimuarabu babaake msomali baada yamuda atahama nchi kama mjombaake rostam.
KINANA,NAPE,KHATIB WATUA MTWARA..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.
kufanya ziara tu, jamaa wanaingia baridi BRAVO CCM utambulisho ni muhimu panga mikakati kamambe.nchi ichemke waelezeni wananchi ukweli msiweke porojo nyinyi ni watawala.