THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,743
- 15,073
Inawezekana ni kweli chama cha wanyonge,lakini swali la msingi hapa ni kuwa hayo mabilioni ya fedha wanayapata wapi?
*Je ni ruzuku ya chama?
*Je ni fedha za kifisadi?
*Je ni fedha za walipakodi zinazotumiwa tofauti na matarajio ya walipa kodi?
==Fungua akili yako na ujadili kwa kina mambo haya na hasa ukizingatia CCM ndiyo chama tawala!
SO,UNATAKAJE??
:focus: