PICHA: Ziara ya Kinana Mtwara yafana

PICHA: Ziara ya Kinana Mtwara yafana

Inawezekana ni kweli chama cha wanyonge,lakini swali la msingi hapa ni kuwa hayo mabilioni ya fedha wanayapata wapi?
*Je ni ruzuku ya chama?
*Je ni fedha za kifisadi?
*Je ni fedha za walipakodi zinazotumiwa tofauti na matarajio ya walipa kodi?
==Fungua akili yako na ujadili kwa kina mambo haya na hasa ukizingatia CCM ndiyo chama tawala!


SO,UNATAKAJE??
:focus:
 
CCM inatumia njia zilizotumiwa na Adolf Hittler kwenye miaka yake ya mwisho ya utawala wake hasa alipogundua kuwa wananchi wamemchoka pale alipokuwa anafanya MIKUTANO MAJIMBO aliyo na wafuasi wengi hasa nyumbani kwake Lower Bavaria na kuonyesha kwenye media kuwa bado anapendwa!

Purposely CCM wamechagua their strong holds kama vile Mtwara,then wataenda Singida,Tanga,Pwani,Iringa na Ruvuma na kutuma picha kwenye media zikionyesha halaiki ya watu na kutupa propaganda kama bado wanapendwa!

Kinana aanze ziara sasa za Kilimajaro,Mbeya,Mwanza,Mara,Pemba na kwingineko kwenye upinzani ili apime kama CCM imerudisha imani za watz!
 
Weka na za M4C na uzifananishe na za Kinana uone tofauti iliyopo ndiyo utauona ukweli wa mzee mzima kuwa"kaa la moto haliwekwi mfukoni"mwisho wa kunukuu.
 
Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?


Bora hata wangetoa bure hivyo vitu watu wakavaa, wametembeza bakuli kwenye maofisi wakusanye 20m kwa ajili ya mapokezi ya hao mafisadi .
 
Bora hata wangetoa bure hivyo vitu watu wakavaa, wametembeza bakuli kwenye maofisi wakusanye 20m kwa ajili ya mapokezi ya hao mafisadi .
Dawa ni kutowachangia kwani matumizi yao yanajulikana!
 
Dawa ni kutowachangia kwani matumizi yao yanajulikana!


wameshachangiwa mkuu,walikua wanadai hao kama za kwao, si nikaficha barua yao ili tusiwape,acha boss anibananishe hadi nikaionesha. ofisi nyingi tu wamewachangia.Imeniuma sana yan.
 
wameshachangiwa mkuu,walikua wanadai hao kama za kwao, si nikaficha barua yao ili tusiwape,acha boss anibananishe hadi nikaionesha. ofisi nyingi tu wamewachangia.Imeniuma sana yan.
Duh!hii ni changamoto kubwa sana,tumeisha kwa kuwa nchi inayumba na imekosa mwelekeo!
 
kufanya ziara tu, jamaa wanaingia baridi BRAVO CCM utambulisho ni muhimu panga mikakati kamambe.nchi ichemke waelezeni wananchi ukweli msiweke porojo nyinyi ni watawala.

...tatizo mtoa habari ni mwana'the magambaz' sasa unatarajia kutoa habari gani amabazo ni neutral? ...na tatizo kubwa zaidi ni kwamba wamakonde wanaoingia humu JF ni wachache na kama haitoshi ni wanaoishi mjini i.e bongo sasa katika hali hiyo unategemea saa ngapi utapata habari mbadala.

Ngoja niweke mambo sawa hapa. Mtoa mada tafadhali jitahidi kueleza umma huu wa JF ukweli wa mambo yalivyokuwa hapa sokoni (soko kuu Mtwara). Waeleze wana JF je;
1. waziri wa JK hakuzomewa na kuambiwa akae chini na wananchi kutokana na wao kutokubaliana na alichokuwa akiongea?
2. Je, Katibu Mkuu & Nnauye hawakujitahidi kutuliza hali ya hewa ilioonekana wazi kuwa chafu mkutanoni?

Tafadhali usitulietee picha za matukio ya Makonde beach club kwani kule (Shangani Mashariki) walienda kukutana na mabalozi wanyumba kumi ambao ni the magambaz kwa hiyo ni lazima wangeonesha 'LOYALTY' kwa ma-BOSS wao.

REMEMBER THAT;
'YOU CAN CHEAT SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CAN'T CHEAT ALL THE PEOPLE AT ALL TIME!'

...wanajamvi naomba kuwasilisha.
 
Moshi na Arusha atakwenda kipindi cha uchaguzi kwa kuleta mbege na bia ambazo wenyeji wa huku wanapenda ile mbaya! wee angalia matokeo ya urais huku Kaskazini CCM huongoza kwa idadi ya kura!
Huku hakuna haja ya kutembela sana maana siku ya uchaguzi wapinzani hupigwa bao wakiwa wamelewa chakari mbege, bia, nyama choma na ngono!

Mbona sasa hivi wako angani wanatua Sumbawanga je nako ni fire wall ya CCM?
 
...tatizo mtoa habari mwana'the magambaz' sasa unatarajia kuapa habari gani amabazo ni neural? ...na tatizo kubwa zaidi ni kwamba wamakonde wanaoingia humu JF ni wachache na kama haitoshi ni wachache wanaoishi mjini i.e bongo sasa katika hali hiyo unategemea saa ngapi utapata habari mbadala.

Ngoja niweke mambo sawa hapa. Mtoa mada tafadhali jitahidi kueleza umma huu wa JF ukweli wa mambo yalivyokuwa hapa sokoni (soko kuu Mtwara). Waeleze wana JF je;
1. waziri wa JK hakuzomewa na kuambiwa akae chini na wananchi kutokana na wao kutokubaliana na alichokuwa akiongea?
2. Je, Katibu Mkuu & Nnauye hawakujitahidi kutuliza hali ya hewa ilioonekana wazi kuwa chafu mkutanoni?

Tafadhali usitulietee picha za matukio ya Makonde beach club kwani kule (Shangani Mashariki) walienda kukutana na mabalozi wanyumba kumi ambao ni the magambaz kwa hiyo ni lazima wangeonesha 'LOYALTY' kwa ma-BOSS wao.

REMEMBER THAT;
'YOU CAN CHEAT SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CAN'T CHEAT ALL THE PEOPLE AT ALL TIME!'

...wanajamvi naomba kuwasilisha.

me LIKE this
 
...tatizo mtoa habari ni mwana'the magambaz' sasa unatarajia kutoa habari gani amabazo ni neutral? ...na tatizo kubwa zaidi ni kwamba wamakonde wanaoingia humu JF ni wachache na kama haitoshi ni wanaoishi mjini i.e bongo sasa katika hali hiyo unategemea saa ngapi utapata habari mbadala.

Ngoja niweke mambo sawa hapa. Mtoa mada tafadhali jitahidi kueleza umma huu wa JF ukweli wa mambo yalivyokuwa hapa sokoni (soko kuu Mtwara). Waeleze wana JF je;
1. waziri wa JK hakuzomewa na kuambiwa akae chini na wananchi kutokana na wao kutokubaliana na alichokuwa akiongea?
2. Je, Katibu Mkuu & Nnauye hawakujitahidi kutuliza hali ya hewa ilioonekana wazi kuwa chafu mkutanoni?

Tafadhali usitulietee picha za matukio ya Makonde beach club kwani kule (Shangani Mashariki) walienda kukutana na mabalozi wanyumba kumi ambao ni the magambaz kwa hiyo ni lazima wangeonesha 'LOYALTY' kwa ma-BOSS wao.

REMEMBER THAT;
'YOU CAN CHEAT SOME PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CAN'T CHEAT ALL THE PEOPLE AT ALL TIME!'

...wanajamvi naomba kuwasilisha.
shuhuda,uliyeshuhudia.yaliyojiri huko kwenye hiyo ziara ya makada waCCM umejionea mwenyewe wananchi wasivyotaka porojo . na kukubali kuwa wageni waliokuja ndio wa kushtakia utawala mmbovu ktk eneo lao, kwa kumzomea waziri inajionesha wazi waliojitokeza pale ni wananchi wote bila kujali vyama vyao vya siasa. WITO ccm nyinyi ni watawala daima simamieni kwenye utatuzi wa kero za wananchi. kulalamika, kupakana matope sio hadhi yenu.KINANA NA NAPE mmejionea mlivyosikilizwa mpaka mmekuwa na nguvu ya kuweza kutuliza ghasia mkutanoni hiyo maana yake mmekubaliwa kazeni buti.
 
Back
Top Bottom