PICHA: Ziara ya Kinana Mtwara yafana

PICHA: Ziara ya Kinana Mtwara yafana

Watanzania wana imani kubwa na ccm.wanakuunga mkono katika harakati zako za ujenzi wa chama.viva
 
Kuna watu hapa wanajitahidi kuonyesha chuki zao halisi bahati mbaya watanzania hawadanganyiki na vyama vya ukanda na vyenye elements za ubaguzi
 
Kuna watu hapa wanajitahidi kuonyesha chuki zao halisi bahati mbaya watanzania hawadanganyiki na vyama vya ukanda na vyenye elements za ubaguzi
7763769-african-elephants-selous-national-park-tanzania.jpg
 
kinana,nape,khatib watua mtwara..kazi ya kusimamia ilani ya uchaguzi yapamba moto.



ccm chukizo sana,,
sasa nimelielewa hili picha,,kwa waliowahi fika mtwara hapo panaitwa makonde beach,,panamilikiwa kwa joint venture ya kijana wa ccm anaitwa maarifa wakishare na police mtwara,,hawa ghasia na mkuchika ndio wahusika na waliofanya kampeni ya kumwingiza mjasiriamali huyu ndani ya ulingo wa siasa hadi kufikia hatua ya kumpa nafasi ya katibu uenezi wa ccm mkoa wa mtwara kwa kura za kishindo ktk uchaguzi huu wa ndani ulioisha hivi karibuni,,
hata rais kikwete alipozuru kule mtwara hili ni eneo ambalo alifikia pia,kwaiyo imekua ni mchezo wa kupeana ulaji na kuzid kutengeneza channel za kupitishia pesa za walipa kodi wa nchi hii
ccm muogopeni mungu
 
Kama ni mikutano ya kuwaita watu hotelini basi kweli kafunia
 
Dogo aliahidiwa Tsh.5000/=,akishiriki maandamano ya kumpokea Kinana kutoka uwanja wa ndege Mtwara. Mwishowe alipoomba pesa hiyo alishangaa na roho yake!!chezea CCM weye!
 

Attachments

  • Mapokezi ya Kinana 002.jpg
    Mapokezi ya Kinana 002.jpg
    955.1 KB · Views: 73
basi bwana nikiwa mtaa wa coco bichi (mtwara) nikiwa kwenye pikipiki (bodaboda) nikamuuliza kijana alienipakiza kwa nini hujaenda kwenye kuwapokea viongozi wa ccm kama wenzio maana vijana wengi wenye pikipiki wamekodiwa kwenye maandamano ya kuwapokea kina kinana, kijana akajibu huku akimaanisha koko bichi na maeneo ya karibu wanatujua hatuwataki na na kama huamini lile shina lao na hapa koko bichi tumelivunja tumeweka bedera ya chadema na ni kweli lile eneo sasa ni chadema ccm haina wafuasi pale. na kweli leo vijana wamevuna mafuta ya bure kutoka ccm!!!
 
saafi saana mh kinana ,gurudumu unaliweza maana jamii imeshakubali neema inawajia siasa safi, mavazi,malazi na chakula maana mpaka picha za mifano tumeoneshwa tunakukubali mazuri mengi yanakuja ahsante saana.
 
Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?
CCM wameingia katika mtego wa vyama vya upinzani kwa kuanza ziara za nchi nzima. (tueme operation) mikusanyiko ya watu huko ni mfano wa maandamano na pia ni kampeni japo muda haujafika. nadhani vyama vya siasa vinaongozwa na katiba ambapo vikao katika kila ngazi vimeainishwa na ingefaa hivyo vizingatiwe kwanza. CCM wanasema wanatoa majibu kwa wapinzani na hilo litazua malumbano kuanzia sasa hadi 2015. je, wana Jf, ikiwa nao CCM wameamua kuungana na wapinzani wao wanaazia Mtwara; CDM kagera; cijui CUF ... CCM kwa mipasho! mh! kwaya, maigizo, ngonjera, ngoma, ngwasuma n.k hii ina matokeo gani kwa nchi?
 
Mtwara safi sana Raia wote wanauniform , Vazi la taifa
kwenye mashina hadi taifa.
Pamefana sana
hizo ndio Ilani za Chama.
 
Tunaweza kutofautiana mengi kuhusu Kinana, but one thing I like about him is: The Confidence; No Fear for anything; Strategic; Diplomatic Personality . . . . Mafia? Did I said Mafia?
 
Kama kawaida ya magamba kutoa bure kofia,tisheti na kanga.Hivi hii tabia mtaacha lini?
CCM wameingia katika mtego wa vyama vya upinzani kwa kuanza ziara za nchi nzima. (tuseme operation) mikusanyiko ya watu huko ni mfano wa maandamano na pia ni kampeni japo muda haujafika. nadhani vyama vya siasa vinaongozwa na katiba ambapo vikao katika kila ngazi vimeainishwa na ingefaa hivyo vizingatiwe kwanza. CCM wanasema wanatoa majibu kwa wapinzani na hilo litazua malumbano kuanzia sasa hadi 2015. je, wana Jf, ikiwa nao CCM wameamua kuungana na wapinzani wao wanaazia Mtwara; CDM kagera; cijui CUF ... CCM kwa mipasho! mh! kwaya, maigizo, ngonjera, ngoma, ngwasuma n.k hii ina matokeo gani kwa nchi?
 
mngefanyia mkutano wenu mashuja ningeamini, pale sokoni si mmelazimisha audience? halafu wanachama wenu kutoka kila wilaya lakini bado watu mia mbili hawakutimia.watu wamewachoka basi tu hamjui
 
Mtwara safi sana Raia wote wanauniform , Vazi la taifa
kwenye mashina hadi taifa.
Pamefana sana
hizo ndio Ilani za Chama.
wamepiga kausingizi ka pono.siku wakizinduka watakuta nchi nzima wako CHADEMA kasoro wao tu.
 
Back
Top Bottom