MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Mmatumbi ni mmatumbi tu. Masuala yetu ya ndani yanawahusu nini wazungu? Mugabe alikataa hii.
Baba'ke alikuwa mwajiriwa wa Serikali, fedha kaitoa wapi?
Mwajiliwa na mfanya biashara kwani mshahara wake unaujua?
= Mwajiriwa.
Wakati wa Nyerere ilikuwa marufuku mwajiriwa wa Serikali kuwa mfanya biashara, kumbuka hilo. Unaonesha u mdogo sana ikiwa huelewi hilo.
Ulimsikia Salum Mwalimu wakati akihojiwa kuhusu hiyo safari? By the way, unamaanisha nini unaposema Mmarekani ambae aliuawa hakuwa mwandishi? Unataka kusema mwandishi ana haki zaidi ya kuishi kuliko yule ambae sio mwandishi? By the way, hakupigwa kwa makusudi kivipi wakati the boy was unarmed?Mkuu kwani chadema wamepeleka suala la escrow huko EU?we uliona huo mwaliko umesema wakafanye nini huko?huyo mmarekani alieuawa hakuwa mwandishi,na hakupigwa makusudi kama mwangosi
Prof.Safari na Ujumbe wa CHADEMA wakiwa ndani ya Ofisi ya Makamu wa Rais wa Bunge la Ulaya Rainer Wieland Jijijni Brussels leo katika kikao cha pamoja baina ya CHADEMA na EU kuhusu masuala mbalimbali. ..
Katika hili hakuna taifa ambalo nalikubali duniani kama Iran... wale jamaa wanajitambua, acha tu!! Nakumbuka 2003 wakati George Bush anapeleka majeshi yake Iraq, alitaka kutumia anga za Iran! George Bush na wenzake walidhani iwavyo vyovyote, Iran ingekubali kutumia anga yake kuichapa Iraq kwa kigezo kwamba Iraq na Iran ni maadui! The message to Bush was simple and clear: "ugomvi wetu na Iraq katu hauwezi kuwa sababu ya kuruhusu anga yetu kutumiwa kuipiga Iraq!"Mmatumbi ni mmatumbi tu. Masuala yetu ya ndani yanawahusu nini wazungu? Mugabe alikataa hii.
= Mwajiriwa.
Wakati wa Nyerere ilikuwa marufuku mwajiriwa wa Serikali kuwa mfanya biashara, kumbuka hilo. Unaonesha u mdogo sana ikiwa huelewi hilo.
Kuing'oa CCM kunahitaji uungwaji Mkono wa Mataifa mbali mbali ...
Huku alikuwepo Ndugai, katibu mkuu hazina ......nao wamefuata nini? Eti mmoja kaleta taarifa kuhusu ESCROW.....Mmatumbi ni mmatumbi tu. Masuala yetu ya ndani yanawahusu nini wazungu? Mugabe alikataa hii.