Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Madhumuni ya ziara ni yapi?
Escrow , katiba, humanrights , Ufisadi ,,,,,,tanzania a failed state.....Madhumuni ya ziara ni yapi?
CHADEMA au UKAWA?
Hata mimi nilitaka kuuliza hivi.
Makubaliano mbalimbali yamefanyika na kuna hatua zinafuatiliwa hasa kuhusu Escrow
TZ2015UKAWA yatosha
Makubaliano mbalimbali yamefanyika na kuna hatua zinafuatiliwa hasa kuhusu Escrow