Wamekwenda kupewa msaada kwa kusapoti ushoga vyanzo vyangu vya habari vinasema hivyo.
Nilimsikia Mwalimu wakati akihojiwa juzi... the way alivyokuwa anaongea ilikuwa ni kama mtoto aliyepigwa kwenzi na sasa kaka ake anamuuliza kwanini analia... alikuwa anaongea as if ndo wamepata pa kwenda kushitakia wakati hao EU hayo mambo wanayafahamu kuliko tunavyofahamu sisi wenyewe!
Huko wazungumzie masuala ya CHADEMA au labda na upinzani kwa ujumla lakini kudhani kwamba EU wanaweza kufanya chochote kwa ajili ya ufisadi unaotokea nchini ni kupoteza muda wa kuongelea masuala yatakayokuwa na tija kwa CHADEMA! Ufisadi wa Tanzania haujaanza jana na huu wa Escrow hautakuwa wa mwisho... kama EU wangekuwa ni wa kufanya chochote ingekuwa wameshafanya hivyo miaka kadhaa iliyopita! Hawa jamaa huwa wana-deal na mtu anayewavimbia kama Mugabe & Co lakini haya mambo mengine, tusipoweza ku-deal nayo wenyewe, no one else can do!
Hiyo...Kwahiyo?
Mkuu unajua maana ya "Failed state?"Escrow , katiba, humanrights , Ufisadi ,,,,,,tanzania a failed state.....
View attachment 207789
Prof.Safari na Ujumbe wa CHADEMA wakiwa ndani ya Ofisi ya Makamu wa Rais wa Bunge la Ulaya Rainer Wieland Jijijni Brussels leo katika kikao cha pamoja baina ya CHADEMA na EU kuhusu masuala mbalimbali.
Picha chini walipowasili Jijini Brussels mapema leo ..
Ziara ya Chadema haina faida yoyote kwa Taifa
Chadema tuliwaamini kumbe na nyie washenzi tu yaani mmeenda ulaya kuwaelezea EU kuwa nyie n wapinzani mnataka msaada eti ufisadi jamani Tanzania sio ya wazungu ni ya watanzania kwann mnawaiga CCM kumbe vyama vyote lenu moja tu kutumaliza NYERERE alisema huwez ukatoa siri za chumban kwako ukawapa majirani huo n ujinga na tutatawaliwa milele
OK wamewaambia mje mfanye nn?maana c mnataka mpangiwe vya kufanya na wazungu huo n umalaya mlianza vizuri but mmearibu n afadhari wangekuja wenyewe yaani mnaadaiwa vitu vidogo
Nyie ndioo mnaoiuza Tanzania yetu badala ya kuiokoa mnawapa wazungu
Siungi mkono ufisadi wa aina yoyote...Huwezi kuwa na akili timamu achilia mbali Mwana CDM, au mtu anaekubali itikadi za CDM then uandike hicho ulichoandika hapo juu!!!
Huwezi kuwa na akili timamu achilia mbali Mwana CDM, au mtu anaekubali itikadi za CDM then uandike hicho ulichoandika hapo juu!!!