Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Mkuu unajua maana ya "Failed state?"
labda tuseme fragile state
Mkuu unajua maana ya "Failed state?"
Kwani unafikiri ni Perfoming state?Mkuu unajua maana ya "Failed state?"
Somalia ?labda tuseme fragile state
Siungi mkono ufisadi wa aina yoyote...
lakini kama kweli CHADEMA wameenda kupeleka umbea wa escrow ULAYA then they are political prostitutes..
CHADEMA wanaiteka ishu ya ESCROW na kuifanya yao
Nami nikuulize,Is there any free lunch in USA?Hayo makubaliano mbalimbali sasa hayo! mzungu ana msemo usemao "There's no free lunch in London" Hayo makubaliano lazima yatakuwa na claw back clauses, ambazo zitaliingiza taifa katika masharti magumu kama mtapewa ridhaa(jambo ambalo ni ndoto maana wananchi wameshawastukia) na kufanya tulazimike kufuata sera za kimagharibi ikiwemo ushoga na mengineyo ambayo hatuyajui. Mungu tuepushie janga liitwalo Chadema.
Hayo makubaliano mbalimbali sasa hayo! mzungu ana msemo usemao "There's no free lunch in London" Hayo makubaliano lazima yatakuwa na claw back clauses, ambazo zitaliingiza taifa katika masharti magumu kama mtapewa ridhaa(jambo ambalo ni ndoto maana wananchi wameshawastukia) na kufanya tulazimike kufuata sera za kimagharibi ikiwemo ushoga na mengineyo ambayo hatuyajui. Mungu tuepushie janga liitwalo Chadema.
Kwa mwendo huu tutatawaliwa hadii kufa kwetu
Tulidhani hiki chama akitaolewa na wazangu washenzi kumbe nao n njaa tu Tanzania pole yako yaani mmewafata ulaya kuwaelezea matatizo yenu chadema tuliwaamini kumbe na nyie wezi washenzi
Baba'ke alikuwa mwajiriwa wa Serikali, fedha kaitoa wapi?
Mbona kati ya hao walioenda kwenye msafara hakuna hata mmoja anaeingia bungeni.Hayo kuhusu Escrow watayasemea chumbani?
Fuatilieni tamko la serikali kesho .....
Mbona nawaona chadema tu siwaoni UKAWA?
Hapo sasa!
Wapi Lema na sugu siwaoni Hapo .....!!! Haha haha
Anzeni na mwenyekiti wenu Mbowe mwenye majengi Dubai.
Chadema ni tawi la Ccm