Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Globs and globs of fat not a single muscle in her body. When she dies her corpse will blow up like a fat bomb within hours.
 
Sema demu wa Mbowe huwa anachanganya kweli.
Yaani unaweza kuta ndani ya Mwaka anapiga picha na maumbo zaidi ya matatu tofauti mpaka unajiuliza huwa anabadilika badilika...?
Akiwa na Mbowe ana umbo lake
Akiwa na Mayoy Jacob ana umbo lake
Akiwa na Mashinji ana umbo lake,
Akiwa Kisutu ana umbo lake.
Umbo lake inategemea yupo na nani na yupo wapi.
Haaaa haaaa we chibokooo
 
IMG-20170605-WA0046.jpg
 
Sema demu wa Mbowe huwa anachanganya kweli.
Yaani unaweza kuta ndani ya Mwaka anapiga picha na maumbo zaidi ya matatu tofauti mpaka unajiuliza huwa anabadilika badilika...?
Akiwa na Mbowe ana umbo lake
Akiwa na Mayoy Jacob ana umbo lake
Akiwa na Mashinji ana umbo lake,
Akiwa Kisutu ana umbo lake.
Umbo lake inategemea yupo na nani na yupo wapi.
We mjamaa umenichekesha!
 
kashatumika sana....wema niliyempenda ni yule wa 2012-2014 sio huyu wa 2017 aliyechakaa ngozi na aliyejiunga na upinzani.
 
Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua

Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Mtu wa kuja kuoa huyo,lazima uwezo wa akili uwe 0.0%
 
Huyu mtoto ni Mrembo shepu Sepenga.... Still mrembo tu. Aaah Wema ajawahi muacha mtu salama.
Na sauti ya kumtoa nyoka pangoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom