Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
Bongo kila kitu fek
I see! Uko kama mimi.asee mi mwanamke aliyetuna tuna sijui namwonaje, sipendi kabisa wanawake wa aina hiyo!!
napenda awe mrefu mwembamba asiwe na hips, tumbo au tako kubwa yani awe dizaini kama nancy sumari. kama uko hivyo njoo pm tubadilishane mawazo odoemma1Unatak awejee
Ndio hivyo...Heee kumbe ndo hivyo
Haaaa haaaa we chibokoooSema demu wa Mbowe huwa anachanganya kweli.
Yaani unaweza kuta ndani ya Mwaka anapiga picha na maumbo zaidi ya matatu tofauti mpaka unajiuliza huwa anabadilika badilika...?
Akiwa na Mbowe ana umbo lake
Akiwa na Mayoy Jacob ana umbo lake
Akiwa na Mashinji ana umbo lake,
Akiwa Kisutu ana umbo lake.
Umbo lake inategemea yupo na nani na yupo wapi.
Mkuu tumseme vyote ila usimuite binadamu jini asee...jini hili
We mjamaa umenichekesha!Sema demu wa Mbowe huwa anachanganya kweli.
Yaani unaweza kuta ndani ya Mwaka anapiga picha na maumbo zaidi ya matatu tofauti mpaka unajiuliza huwa anabadilika badilika...?
Akiwa na Mbowe ana umbo lake
Akiwa na Mayoy Jacob ana umbo lake
Akiwa na Mashinji ana umbo lake,
Akiwa Kisutu ana umbo lake.
Umbo lake inategemea yupo na nani na yupo wapi.
Hahahaaaa!! Hilo hipsi ni refu sana aiseeh!!Ila hips za siku hizi kiunoni mpaka magotini jamani enyi wachina Mjue Mungu anawaona kuna kiama sijui mtajibu nini
Mtu wa kuja kuoa huyo,lazima uwezo wa akili uwe 0.0%Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua
Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......