Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Hamna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hivi alivyohamia Chadema ndio makamanda wanamsifiaa utafikiri hakuna mwanamke mwingine hapa Tz.Yani kila kitu hapo ni artificial siku akiamuwa kuwa natural watu watamkataa, hakuna wigi (mvi zitaonekana), hakuna makeup makunyanzi kibao, hakuna nysi za bandia...., hakuna hipsi za bandia........., hakuna tanganyika jeki.....??
Hahahaa akivua nguo unaweza usidinde kwa muda kwanza maana hutojua uanzie wapiKwa uzuri mzuri na shape ipo ila ukiiona live hizo hips haziko kama zinavyoonekana hapo...
hahaha shida ni moja tako na hips zitaongezeka ila paja litapwaya
Wivu tuKwa uzuri mzuri na shape ipo ila ukiiona live hizo hips haziko kama zinavyoonekana hapo...
Wanawake mnaoneana wivu daaah aseeee 😂😂😂Hahahaa akivua nguo unaweza usidinde kwa muda kwanza maana hutojua uanzie wapi
Sina la kusema😀Kipindi fulani wema nlikutana naye nchi fulani,alikuja huko kushiriki umiss dunia,kalikuwa kabichiiiii
Ova
Fast forward to 2023 😮💨😮💨Picha alizoweka msanii Wema Sepetu zimekuwa gumzo mtandaoni Instagram baada ya kuzipost katika Account yake.
Sema dah nimeangalia hizi picha kama 6 au zaidi na nimemuelewa huyu kada wa CHADEMA.
Duh hatari sana.
View attachment 529335 View attachment 529336
Kwanin usidinde kwani hana kitobo?Hahahaa akivua nguo unaweza usidinde kwa muda kwanza maana hutojua uanzie wapi
Kwa sasa yupo vipi?Picha alizoweka msanii Wema Sepetu zimekuwa gumzo mtandaoni Instagram baada ya kuzipost katika Account yake.
Sema dah nimeangalia hizi picha kama 6 au zaidi na nimemuelewa huyu kada wa CHADEMA.
Duh hatari sana.
View attachment 529335 View attachment 529336