Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Mi sijui na matatizo gani.mwanamke akiwa hivyo nakosa nae hisia kabisa naona kama nimelala na mdoli.samahani lakini
Kiingereza hakijawahi kumuacha mtu salama.
Tusamehe tu ndugu..tunahangaika kwaajili yenuWanawake bwana yupo mwingine nliewah kumuona kavaa litaiti la box
Yuko bize na vi Ben 10 mume atampata saa ngapi, huyu Dada anakua miaka akili imelala sana.Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua
Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Mwanaume akichojoa hakuti hilo shepu mnaloliona kwny pichaUzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua
Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Numbisa kwenye tumbo hapo Wema umemuonea...
Kati ya mambo yote yaliyomshinda kwenye tumbo ameweza kumaintain asee,
Wema hana tumbo kabisa...