Masikini wanatia huruma!
View attachment 50642 View attachment 50643 View attachment 50641 View attachment 50644 Wakuu picha ani nyingi sana ila kwa kuanzia angalie hizo. Ona sera za CCM!!!!!!!!! Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee???????????????????? Pigaaaaaaaaaaaa Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii??????????????? Kijaniiiiiiiiiiiiii. Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii??????????? Kijaniiiiiiiiiiiiii. Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii??????????? Kijaniiiiiiiiiiiiiiii Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii????????????? Kijaniiiiiiiii. Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeee. Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Jamani naiombea CDM ishinde Arumeru. Mungu wangu wafungue akili na fikra wananchi wa Arumeru waione CCM jinsi inavyozidi kuwafanya wananchi kuendelea kuwa maskini.
hakuna picha tuone!?
Ccm ccm aaaah aaaah chama cha mapinduzi ccm namba wani Siyoi anawekaaa anatoaaa waaa ushindi unakujaaaaaa!
Naomba Mungu uchaguzi ufanyike kwa amani. Ila magamba waache kabisa mchezo wa kuchakachua kura.
kinachoondoa umaskini ni kufanya kazi sio kulalamika.umasikini hauondolewi na chama zaidi ya kazi
Yumkinika hata kama wakiiba sidhani kama zitatosha kuifanya CDM isiibuke mshindi, labda sana sana wajitahidi kupunguza aibu ya kushindwa.