Picha za Leo Mkutano wa CDM Tengeru Arusha

Picha za Leo Mkutano wa CDM Tengeru Arusha

Mungu jalia umati huu wa chadema ndo ziwe idadi ya kura za chama hapo kesho, mabadiliko ya 2015 yaanzie Arumeru Mashariki. Hizo picha za CCM zinahusisha pamoja na watu waliosombwa kwa malori toka Monduli, simanjiro etc?
 
Hakika Mungu yupo nasi vita hi ya kulinda utu na haki ya mwanadamu dhidi ya dhuruma ya CCM.
 
Mkuu "wabheja" sana kwa picha nzuri! Magamba sijui kama leo watalala kwa raha!.
 
Kama watu wamehamasika hivyo basi magamba wajiandae kuwa chama mfu pinzani 2015.
 
interesting. lakini watanzania msisahau Rule No.1: UCHAGUZI SHAHADA...
 
Duhh kwakweli hii balaa, wamebanwa pande zote hakuna kupumua kwakifupi wakitaka walianzishe manake jeshi ndio hilo hilo...
 
Chadema leo majira ya saa 10-12 jioni ilifanya mkutano wao wamwisho wa kampeni,ambao kwao ni mkutano wao wa 109 katika jimbo la arumeru east ndani ya 21 za kampeni.mkutano huo ulifanyika katika kiwanja cha patandi ambapo jana magamba walifanya mkutano wao hapo...katika mkutano huo agenda kuu ilkua ni mikakati ya kulinda kura,huku CDM wakisema kesho wanaongeza chopa ya pili kwaajili ya kulinda kura..kamanda mbowe alisema kesho kutakua na mkesha wakulinda kura pale usa river...hakuna kulala mpaka kieleweke...!!!
 
Jamani naiombea CDM ishinde Arumeru. Mungu wangu wafungue akili na fikra wananchi wa Arumeru waione CCM jinsi inavyozidi kuwafanya wananchi kuendelea kuwa maskini.
 
Ee Mwenyezi Mungu simama imara na nyoosha mkono wako wa baraka kwa CHADEMA!!
Wote semeni "AMENI"
 
6.+Watu+kibaoo+wanapenda+CCM+King'ori.jpg
 
Mungu ibariki cdm, nawatu wake,wote watakao thubutu kuiba kura wa pigo kali wasiloweza kusahau,eee Mungu sikia maombi yangu,kwani wewe ni Mungu muaminifu sana. kwa jina la yesu aminaaaaa!
 
Mungu ibariki cdm, nawatu wake,wote watakao thubutu kuiba kura wapige pigo kali wasiloweza kusahau,eee Mungu sikia maombi yangu,kwani wewe ni Mungu muaminifu sana. kwa jina la yesu aminaaaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom