CDM kushinda karibu chaguzi zote endapo tu.....

CDM kushinda karibu chaguzi zote endapo tu.....

Losambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
2,611
Reaction score
868
Utafiti wa kisayansi uliofanywa na watu unaonyesha wazi kabisa katika chaguzi ambazo zinategemewa kufanyika kesho kutwa kuanzia ubunge hadi udiwani CDM ina asilimia kubwa ya kuibuka kidedea endapo tume ya uchaguzi itafanya kazi yake bila mashinikizo toka serikali kwa lengo la kuibeba!!!!!

Kupitia vyanzo vyangu mbali mbali siyo Aruemeru tu CCM imeshikwa bali Mwanza, Mbeya, Songea katika chaguzi za madiwani nako hali ni tete.

Kibaya zaidi serikali imeshaligundua hilo na kutaka kulinusuru kwa njia ambazo bila ya shaka zitateleta maafa makubwa kwa lengo ya kukilinda chama cha Mapinduzi hasa katika kipindi hiki ambapo maisha ni magumu na wananchi wakiamini kiini ni serikali ambayo katika siku za hivi karibuni imeonyesha dhahiri kushindwa kutatua kero za wananchi hao ambao ndiyo wapiga kura!!!

Njia hiyo ambayo inatarajiwa kutumika ni kuwachanganya wananchi hasa mapema sana kwa kutoa amri tata ambazo zitapingwa na wananchi hao kisha polisi kufanya kazi yao na kuharibu siku hasa kwa wale wenye mioyo midogo.

Na kwa kuwa CCM imejitahidi sana kujenga hoja na CDM ni chama chenye kuendekeza vurugu basi ikibidi watu watakufa kwa makusudi ili kipakwe matope zaidi kuwa ndiyo chanzo kikuu, na ugomvi huo utaanzia RASMI KWENYE KULINDA KURA kama ilivyokuwa Arusha katika maandamao ya tarehe 05.01.2011. Ni mpango maalumu wala si wa bahati mbaya ili kunusuru CCM isishindwe karibu chaguzi zote na kutoa mwangu mbaya katika taswira ya kimataifa.

Wajameni nawakilisha. C

Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.
 
wataungwa mkono na makanisa.

Kwani misikiti hakuna mkuu kwa upande wa pili?

Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.
 
jamani naomba tukishapiga kura tuzilinde hata kama watatuuwa

Hicho ndiyo kiapo cha wanaArumeru. Lakini upande wa pili upo busy kuhakikisha hali haiendi arijojo, tuvute subira lakini siku ya 01.04 ni siku ambayo JF itakuwa na thread nyingi kuliko za uchaguzi na matukio yanayoambatana na uchaguzi.


Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee????????????????????

Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.

Oyeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
jamani naomba tukishapiga kura tuzilinde hata kama watatuuwa

Jibu la swali lako ni hili hapa Slaa: Hakuna Kura ya Chadema itakayoibiwa Arumeru - YouTube


Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom