Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

Matengenezo ndege.jpg

Technicians busy undertaking maintenance work on an ATCL plane DASH-8-300 at Terminal One of Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Guardian photographer)

Nawatakia kila la kheri Mafundi wetu wa ndege
 
Askari.jpg

Mtangazaji wa Radio Clouds FM Said Bonge `Bonge`, akirekebisha singe ya sanamu ya askari katika makutano ya mitaa ya Samora na Azikiwe jijini Dar es Salaam jana. Singe hiyo ilikunjwa wiki iliyopita na mtu anayedaiwa kuwa ni mgonjwa wa akili aliyetaka kuiangusha sanamu hiyo ambayo inalitambulisha Jiji la Dar es Salaam.(PICHA:MPIGAPICHA WETU)
 
Bomoa.jpg

A bulldozer belonging to Dar es Salaam City Council pulls down one of 53 houses at Gerezani, in Kariakoo to pave the way for construction of the ongoing Dar es Salaam Rapid Bus Transport terminals project. (Photo: Omar Fungo)
 
MshikoChadema.jpg

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, officials count money collected from its party members and supporters at a fund raising event in Arumeru to support the on-going campaign rallies for the Arumeru East by election. (Photo:Khalfan Said)
 
Mkoawamagharibi.jpg

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na viongozi na watendaji wa Wilaya na Mkoa wa Mjini Magharibi, katika mkutano wa majumuisho ya ziara aliyoifanya katika wilaya hiyo Mjini Unguja jana, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Abdalla Mwinyi Khamis.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom