Picha yangu ya leo hii

Picha yangu ya leo hii

Mkoranga.jpg

Mgombea ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joshua Nassari (kushoto), akiwa amekibeba kichanga chenye umri wa siku moja, alipotembelea wodi ya wazazi hospitali ya Mkoranga wilayani Arumeru mkoani Arusha jana ikiwa ni mwendelezo wa kampeni zake za kuwania kiti hicho.
 
Aru.jpg

Mfuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akionyesha alama ya dole gumba inayotumiwa na chama hicho, wakati mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Nambala, wilayani Arumeru jana jioni.
 
UchaguziAfrikaJK.jpg

President Jakaya Kikwete delivers keynote address at a conference on managing elections in Africa, held in Dar es Salaam yesterday. It was organised by Uongozi Institute and attended by delegates from Southern African Development Community (SADC) member countries. (Photo: Tryphone Mweji)
 
Tuzo.jpg

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kulia), akimkabidhi tuzo ya Ushujaa ya Mfuko wa Bima ya Afya, Joyce Bazira, ambaye alikuwa Mhariri wa gazeti la ALASIRI kwa mchango wake wa kuwa shupavu katika kuhariri habari mbalimbali za jamii zikiwemo za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
 
CUFmamas.jpg

CUF National Council members welcome the party`s national leaders during an extraordinary meeting in Dar es Salaam yesterday called to discuss issues related to development of the party. The meeting was addressed by CUF chairman Professor Ibrahim Lipumba and secretary general Maalim Seif Shariff Hamad, who is also the First Vice President of Zanzibar. (Photo: Omar Fungo)
 
Chadema%20Ar.jpg

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwa kwenye eneo la mkutano wa kampeni jimboni Arumeru Mashariki huku wakiwa wamebeba bango la picha ya mgombea wao, Joshua Nassari wakati wa kampeni hizo jana.(PICHA: KHALFAN SAID
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom