benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Wachezaji wa timu ya Simba kabla ya mechi na timu ya Power Dynamos ya Zambia iliyofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Temeke Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Agosti, 2023 INAWEZEKANA NDIO PICHA "KALI" ZAIDI YENYE UNYAMA MWINGI Katika picha ambazo viongozi wa juu wa nchi wamepiga katika matukio ya michezo
Picha imejaa Furaha
Picha imejaa Tabasamu
Picha imejaa Matumaini
Picha imejaa Upendo
Picha imejaa Amani
Picha ni Kali
Yaani picha ya "Unyama Mwingi"
Kama kuna mwenye picha bora zaidi alete
Picha imejaa Furaha
Picha imejaa Tabasamu
Picha imejaa Matumaini
Picha imejaa Upendo
Picha imejaa Amani
Picha ni Kali
Yaani picha ya "Unyama Mwingi"
Kama kuna mwenye picha bora zaidi alete