PICHA: Watoto halaiki waandamana kudai POSHO ZAO (Mwenge)

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,839
311104_443047525737265_468291117_n.jpg



Watoto wa haraiki waliokuwepo kwenye maadhizisho ya kuzima mwenge mkoani shinyanga. Wameandamana mpaka ofisi ya mkuu wa mkoa shinyanga kudai pesa yao ambayo hawajalipwa. Wanaimba kuwa wanataka haki yao.
 
Shame on Ccm,hivi hapo viongozi utasikia tulikuwa tunatafuta chenji. Kumbe ni wizi.
 
Shame on Ccm,hivi hapo viongozi utasikia tulikuwa tunatafuta chenji. Kumbe ni wizi.
Chenji gani???? Ya rada?
Cha muhimu ni sisi wazazi kuwakataza watoto wetu kushiriki huo utumbo wa CCM.
Watoto wanatolewa madarasani kwa zaidi ya wiki mbili wakifanya mazoezi na mafundisho ya halaiki,
wanapoteza muda wa masomo na nguvu zao, wanaumia kwa kupigwa na jua, na mwisho wa siku wananyimwa hata hela ya maji ya kunywa.
Kweli CCM ni baba la majambazi
 
Kwani siwanalipwa wali sahani moja kila mwaka.
Safari hii imekuwaje tena?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Pesa wamekula hizo kila nyanja ni dhuruma tu mlaaniwe ccm
 
Ikiwa kama watoto wameanza kuandamana kila kukicha, je wakikua wakubwa itakuwaje? Nasikitika kwa kuwa Serikali ipo tayari wanafunzi watumie muda na suluba nyingi kwenye matamasha yasiyo na maana. Ndio maana hatutaki haya mambo ya tochi ya uhuru
 
Ikiwa kama watoto wameanza kuandamana kila kukicha, je wakikua wakubwa itakuwaje? Nasikitika kwa kuwa Serikali ipo tayari wanafunzi watumie muda na suluba nyingi kwenye matamasha yasiyo na maana. Ndio maana hatutaki haya mambo ya tochi ya uhuru
Taifa la kesho limesha haribikiwa
 
Bujibuji niliwahi kucheza halaiki nilichoambulia ni raba na tulikuwa tunapewa chakula cha mchana. Hawa wanaodai pesa nani katika umri wao ni hatari kwa Taifa. Kwani wakati wa mazoezi na siku ya halaiki walijihudumia kwa gharama zao au walipewa huduma zote? Taifa la Tanzania linaelekea mwisho wake
 
Last edited by a moderator:
Kuweni makini wadogo zangu, angalieni vitu vizito visije wadondokea.
 
Bujibuji niliwahi kucheza halaiki nilichoambulia ni raba na tulikuwa tunapewa chakula cha mchana. Hawa wanaodai pesa nani katika umri wao ni hatari kwa Taifa. Kwani wakati wa mazoezi na siku ya halaiki walijihudumia kwa gharama zao au walipewa huduma zote? Taifa la Tanzania linaelekea mwisho wake
Hakuna kazi ya bure hapa.
Walipwe fedha zao haraka iwezekanavyo.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
walikukuta pori gani? huenda na baba alikuwa mvivu kuingia maduka ya bora.
Bujibuji niliwahi kucheza halaiki nilichoambulia ni raba na tulikuwa tunapewa chakula cha mchana. Hawa wanaodai pesa nani katika umri wao ni hatari kwa Taifa. Kwani wakati wa mazoezi na siku ya halaiki walijihudumia kwa gharama zao au walipewa huduma zote? Taifa la Tanzania linaelekea mwisho wake
 
walikukuta pori gani? huenda na baba alikuwa mvivu kuingia maduka ya bora.
Kiranja Mkuu tunapozungumzia kuwa nchi imefanikiwa sana kiuchumi kuna ambao tunaelewa na wengine hamuwezi kuelewa. Sisi watoto wa wakulima baadhi yetu tumeanza kuvaa viatu wakati wa kwenda Form I (ya serikali) viatu vyetu vilikuwa kata mbuga. Vijana mnaoanza kazi kwa mshahara mmoja unaweza kununua "Music set" enzi zile tunaanza kazi si chini ya miezi mitatu na keundelea; enzi zetu kununua baiskeli bila kupitia SACCOS au kucheza kibati na wenzako ilikuwa haiwezekani leo ninyi basi ni kwa ajili ya kufanyia mazoezi (kupunguza viriba tumbo) kwenu ndani ya miezi sita mnaweza kununua gari......hayo ndiyo maendeleo yanazungumziwa ambayo wazaliwa wa 80s na kuendelea humuwezi kuelewa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom