KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kwani mkataba ilikua walipwe sh ngp?
hivi kikwete utaacha legacy gani kwenye nchi hii? hivi huoni aibu?
Pesa wamekula hizo kila nyanja ni dhuruma tu mlaaniwe ccm
Chenji gani???? Ya rada?
Cha muhimu ni sisi wazazi kuwakataza watoto wetu kushiriki huo utumbo wa CCM.
Watoto wanatolewa madarasani kwa zaidi ya wiki mbili wakifanya mazoezi na mafundisho ya halaiki,
wanapoteza muda wa masomo na nguvu zao, wanaumia kwa kupigwa na jua, na mwisho wa siku wananyimwa hata hela ya maji ya kunywa.
Kweli CCM ni baba la majambazi