UVCCM walivyowapokea viongozi wao wapya - kwa mabango na kichapo - katika ofisi za Makao Makuu ya Umoja huo leo. (picha, maelezo - blogu ya Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua)![]()
Source: wavuti.com - wavuti
Mi naona hao kama ni vibaka tu .............kwenye hiyo picha ya kwanza kuna jamaa mmoja kampiga jamaa "loba" na jamaa mwenye fulana nyekundu na huyo mwenye fulana ya yeboyebo......wote wamepeleka mikono yao kwenye mfuko wa suruali ya jamaa.......
Wakuu nimeshindwa kuziona kabisa hizo picha, ninatumia simu ya Huawei.
Dah!! ninakosa uhondo mtamu wa magamba!!!
Tafadhari wenye maujanja watusaidie ikiwezekana kuzi-attach kwenye post zenu moja moja au kuzi-convert katika format tofauti.
Nimejaribu kufanya mauchakachuzi hadi kwenye link ya Wavuti-wavuti lakini hali ni hiyo hiyo.
Please jamani msaada wa kiufundi!!