Picha: UVCCM-Dar wapokeana kwa kutwangana

Picha: UVCCM-Dar wapokeana kwa kutwangana

Hiki ni kielelezo kuwa watu bado wanakipenda chama.

Waandamanaji hawazidi hata 6 ....tena wamelipwa...hii ni ishara kuwa watu wanapoteza Imani na CCM...nilitegemea Kama kundi linalompinga mwenyekiti wameshapata signature 300 ...ingetegemewa angalau kundi la maandamano Lowe kubwa.....na kuleta upinzani stahili kwa mwenyekiti mpya ...Lakini watu wenyewe Sita ..!? Inaonesha walioshinda ndio wenye nguvu na uhalali ...these are just spots of resistance
 
Yanajidai kuandika na Kilatini wakati hayawezi eti "VOX PULL VOX DE" Wataliano hebu mtusaidie ndo inakaa hivyo kweli?

Huyo jamaa mbona watamtoa roho? Maana hiyo kabari siyo ya kawaida. Vijana wa Nyinyiem kama kawaida wengine wanafisadi mifuko chezea CCM wewe!!! Mashabiki wa Yanga na Simba nao hawachelewi wako msitari wa mbele!!
 
Endeleeni hivyo hivyo uvccm na nyie muwe mmetoa mchango wenu katika ujenzi wa Tanzania mpya 2015 chini ya uongozi wa dr slaa. Endelezeni mapambano yenu wenyewe kwa wenyewe ili mwisho wa siku historia iwakumbuke. Msikubali watoto wa vigogo na viongozi wa kupandikwiza wawatawale. Fanyeni hivyo hivyo ili MKOSE WOTE. WAMEMWAGA UGALI NYIE MWAGENI MBOGA. DR. SLAA atawavisha taji mkishaua ccm
 
............. ccm ITAKUWA KAMA kanu ya Kenya... ambayo inapumua kwa mashine.... pamoja na nasaha za Mh. JK..... mambo ndo kama hivi!!! inatisha sana.......
 
nafurahishwa sana na kauli ya rafiki yangu ambaye ni kijana mwenzangu na yupo chama cha MAGAMBA na katika uongea naye siku moja kwa ubishi kwa nini yupo kule alinijibu ni muhimu kuwa upande ule ile aweze kuubomoa vizuri kwani ni moja ya njia na harakati za kuleta ukombozi nawasifu vijana wa aina hii ambao wako kwa magamba hakika mtatusaidia sana na endeleeni kupambana.
 
HIVI KUMBE SINEMA KAMA HIZI TOKA " chukua chetu mapema" zinapatikana siku hizi eeh!
Kama kuna mdau anamjua mwenye video clip atuletee ama youtube link ili tuione vyema.

Kwa kweli hizi picha zinasema mengi ambayo wanachama na viongozi wa chama chetu "kikongwe" HAWATADHUBUTU HATA KUTAMKA....
 
Sasa kama Gambaz mnashindwa kuvumiliana nyie wenyewe nani atawavumilia?!1
 
naona wagombea urais kuptia ccm waliojpanga kwa 2015 baada ya vbaraka wao kna makonda na salum hapy kushndwa wameamua kuanzisha vurugu
 
Nape na kuangaika kooooote mpaka akafanya chama chao kikaitwa cha magamba leo naona wamepgwa bao la ksgno na aliowaita magamba akitaka watoswe ktk chama kwa kuogopa nguvu yao leo watanzania tumegundua kweli lowasa anakubalika nape acha vijana kama kna matefu wakatafte riziki wanategemewa na familia zao unawadanganya kwa kuwatengenezea mabango kwa sababu makonda uliyemtaka wewe na kundi lako la wapganaji feki waliokuwa wanagawa rushwa dodoma hadi wakafukuzwa na viongozi wastaafu wa UVVCCM alishndwa..KUBALI KUWA WEWE NI MTOTO MCHANGA UWEZI KUSHINDANAN NA LOWASA kapge gitaa na acha siasa za maji taka.
 
Safi sana uvccm, kweli nyie n namba wani kama alivyosema baba yenu kuwa chama kinawategemea sana kushinda chaguzi mbalimbali naamin huo ni mwanzo mzuri kuelekea ushindi!! hahahahaaaaa.....keep it up. sasa naamini bila shaka kama walivyosema cuf na kauli mbiu yao kwamba victory is for chadema(v4c).
 
Pichani chini ni waanachamawa Umoja wa Vijana wa CCM (UV-CCM), wanaomuunga mkono Mwenyekiti mpyawa Taifa wa Umoja huo, Khamis Sadifa Juma na viongozi wenzake,wakimtwanga mmoja wa wanachama waliojitokeza kumpinga mwenyekiti huyokwa mabango(wa pili kushoto), wakati alipowasili makao makuu ya umojahuo Dar es Salaam jana, akitokea mkoani Dodoma alipochaguliwa kushikanyadhifa hiyo. Picha na Rafael Lubava.

UVCCM_3.jpg
 
Back
Top Bottom