Jayonepey
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 320
- 151
Hahaha!! Mpiga refa
Last edited by a moderator:
Kizazi cha kifisadi kinapigania kupata nafsi ya kutufisadi kama wazazi wao. Mkijakumaliza ugomvi mnamkuta Dr. Slaa anatoa hotuba ya kuzindua bunge november 2015.
Wala hatutamsikia Tendwa akisema kitu kutokana na haya yote, ila ingekuwa ni kutoka chama chochote cha upinzani tungemuona na vifungu vyake vya sheria feki. Halafu huyu mwenye BANGO la maandishi mekundu (pichani) linlomlaani Shigela angelitoa tangu kipindi kile anadanganya umma kutokana na vifo vya raia wema kwenye mikutano ya CDM angalau tungemuelewa.
View attachment 69544
ninachowaogopa ccm ni kua kama wanadundana wenyewe kwa wenyewe wakianza kuwekeza mashambulizi cdm si nchi itachafuka....hawa jamaaa hatari..kwenye hizo picha si kuna uvunjifu wa amani polisi walikua wapi