BEDO NYALUTOGO
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 1,328
- 192
Safi msiache huo mchezo! Now the way! Is clearly and real 4 what is coming soon
UVCCM walivyowapokea viongozi wao wapya - kwa mabango na kichapo - katika ofisi za Makao Makuu ya Umoja huo leo. (picha, maelezo - blogu ya Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua)
Source: wavuti.com - wavuti
Huyo ni Rejao.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Njaa mbaya sana, hapo sijui Ritz alipona.
Sio katiba mpya kweli?
Adui mwombee njaaUVCCM walivyowapokea viongozi wao wapya - kwa mabango na kichapo - katika ofisi za Makao Makuu ya Umoja huo leo. (picha, maelezo - blogu ya Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua)
Source: wavuti.com - wavuti
Huyo anaekabwa inasemekana ndio aliopokea fungu ili wamchague "Fulani", nae akawasiliana na wenzake
Sasa utata umekuja kua baada ya kufanikisha hilo zoezi la uchaguzi amewageuka wenzake, hataki kuwapa "chao".
Naona kama ana`golewa jino, au nina makengeza?