Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu ,kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi
Sikiliza demu nikwambie kitu.....Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu ,kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi
Fyuuuuuuu
Wanaishi maisha yao na wana amani mkuuHawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu ,kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi
Marekani wenyewe wamesalimu amri, ww wa kisasa una nn cha kujivunia??Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu ,kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi
Hahaha hawa wabishi hawafai kbsa
Amani????????Wanaishi maisha yao na wana amani mkuu
Na hayo magunia aliyovaa unaweza dhani ni jogoo mkubwa sana
Huyo charisa wad ni reporter wa CNN au talebanNaangalia CNN hapa kuna huyu reporter wao Charissa Ward ni KE anaripoti live kutoka Kabul nyuma yake kuna Mataliban kama 6 au 7 hivi na mitutu yao tayari tayari kama vile wanategemea kushambuliwa dakika yoyote.