Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,406
My take:
Hawa watu bado ni magaidi.Hii personality ni ya kigaidi😁😁😁
Hawa watu bado ni magaidi.Hii personality ni ya kigaidi😁😁😁
Kabisa. Wanawake wameshapotea kwenye TV stations. Hawa jamaa wanakuua kwanza then wanakuhoji baadaeWatu wa hovyo sana hawa halafu ni watu hatari sana. Wameshaanza mauaji ya kutisha na kutaka wanawake wafiche miili yao ikiwemo sura.
Hao sio watu hao ni cockroachHawa watu ni wapuuzi sana. Ndio maana mmarekani atarudi hapo na kuwa-colonize totally.
Kumpa mtu kama huyu fursa ya kuitawala nchi ni hatari sana...ona alivyovaa kwanza..
🤣🤣🤣Kumpa mtu kama huyu fursa ya kuitawala nchi ni hatari sana...ona alivyovaa kwanza..
Kabisa. Wanawake wameshapotea kwenye TV stations. Hawa jamaa wanakuua kwanza then wanakuhoji baadae
Talibana wanacheza na "saikoloji" za watu. Yaani wanajaribu kupait image tofauti na ile ya nyuma ili wawe supportedNaangalia CNN hapa kuna huyu reporter wao Charissa Ward ni KE anaripoti live kutoka Kabul nyuma yake kuna Mataliban kama 6 au 7 hivi na mitutu yao tayari tayari kama vile wanategemea kushambuliwa dakika yoyote.
Mtu kapendeza na kanzu na raba unamuita gaidi! 😂😂😂
Au kwa sababu kashika Mkwasa?