View attachment 3374869View attachment 3374870
Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu.
Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anae Tudai..
🤣😄😁😁😂Una mwanasheria?
🤣😄😁😁😂
Mama anadaiwa trln 107View attachment 3374869View attachment 3374870
Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu.
Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anae Tudai..
October tunatick liwe jua,inyeshe mvua sisi kazi yetu ni moja tu, TUNATICK
Tukosoe kwa hoja si kishabikiView attachment 3374869View attachment 3374870
Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu.
Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anae Tudai..
Umasikini ni laana. Lazima uwe chawa.Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anae Tudai.
Sio kosa lakoTukosoe kwa hoja si kishabiki
Mwalimu akiishi kwenye nyumba kama hiyo, ni upumbavu wake
Hata wapishi wa shule hawaishi kwenye kibanda kama hicho
Hela ya posho anayopewa 250k pekee akiamua awekeze miaka miwili tu anapata sehemu nzuri ya kujistiri kwa maisha ya kijijini
Pia ana fursa ya mikopo
Tumkosoe SSM kwa mengine ila sio hilo
Katika haya maisha kuna siku utakumbuka umuhimu wa serikali kutumia hela za walipa kodi kwa haki. Wapi waliowahi kuwa mawaziri leo hii wanalia ana kusaga meno wanadharauliwa kwa kuwa zama zao zimeshapita. Siku zama zako zikishapita ndio utaamka na kuja kutetea lakini itakuwa tayari umeshachelewa.Tukosoe kwa hoja si kishabiki
Mwalimu akiishi kwenye nyumba kama hiyo, ni upumbavu wake
Hata wapishi wa shule hawaishi kwenye kibanda kama hicho
Hela ya posho anayopewa 250k pekee akiamua awekeze miaka miwili tu anapata sehemu nzuri ya kujistiri kwa maisha ya kijijini
Pia ana fursa ya mikopo
Tumkosoe SSM kwa mengine ila sio hilo
Kina Lucas Mwashambwa and others...Wenyewe watakufata sasa hivi 😄
TUNAJUAJE KWAMBA ULICHOKIANDIKA NI SAHIHI? PICHA TUNAAMINIJE NI YA ULIYEMTAJAView attachment 3374869View attachment 3374870
Nyumba ya Mwalimu Mkuu, Shule ya Msingi Dasina, Kata ya Nkoma, Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu.
Hakika Mama Hatumdai ila yeye ndio anae Tudai..