Sintah alikuwa na bifu zito na shigongo, yan ni story ndefu mpaka hayo mambo ya shigongo kuwa ananunua mashoga yakaanikwa, yani mjin rahaaa
Sintah alikuwa na bifu zito na shigongo, yan ni story ndefu mpaka hayo mambo ya shigongo kuwa ananunua mashoga yakaanikwa, yani mjin rahaaa
Kah kumbe walikua na bifu kubwa kiasi hcho nakumbuka walikua wana muandika daily na ile issue ya James Ndandu kupga picha za mahaba.
Hilo la bifu naskia kwako.
Sintah alikuwa na bifu zito na shigongo, yan ni story ndefu mpaka hayo mambo ya shigongo kuwa ananunua mashoga yakaanikwa, yani mjin rahaaa
Warumi katika ubora wake!!!
Sintah aliandikwa mpaka ikabore kah
mwenzangu hakubore tu alkunywa hadi sumu ati amechokwa kuandikwa kwenye magazeti!
mwenzangu hakubore tu alkunywa hadi sumu ati amechokwa kuandikwa kwenye magazeti!
Hivi ndo alisema GPL wanamfatilia ndo wakampotezea mazima.
besta tangu marlow amuoe imekuwa historia,mtoto alikuwa na ushepu yule kama Wellu sengo hivi mshepu wake!!
Nina mambo safi sasa ivi, sijui anafanya ishu gani, juzi nilimuona kweny folen anasukuma prado nyeupe halaf kawa mzuri zaidi
tatizo basta reception haikuwa kali, labda sasa kama anajisiliba na hizi make-up
Kuna wakati nilikuwaga najaribu kuimagine what if tukiweka kichwa cha uwoya kwenye kiwiliwili cha besta
Enzi hzo walikua wanajua maana ya kuigiza sio sasa ivi wauza sura tu.
tatizo basta reception haikuwa kali, labda sasa kama anajisiliba na hizi make-up
Kuna wakati nilikuwaga najaribu kuimagine what if tukiweka kichwa cha uwoya kwenye kiwiliwili cha besta
Sasa hivi besta amezaa ametoka na kitambi na minyama uzembe kibao,aende tu zoezi maana !