Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Sauti yake ilikuwa nzuri balaa akiwa anaongea kama yupo nje ya nyumba na ww upo ndani lazima utatoka kumuangalia ni nani! ?hop sauti bado ipo haijazeeka
 
Mi mwenyewe nilikuwa namuona mbabe balaa, nikawa najisemea huyu mimi ni big No hata nikipewa na ghorofa juu

Hebu acheni hizo jamani, mwanamke kua mbabe havina mahusiano na mapenzi maana kama mimi nifah ukiniona huku JF utaogopa ila mambo yangu anayajua.......!
Hahahahabaa
 
Last edited by a moderator:
Norah umaarufu umeisha ila urembo wake unamvuto sana kama hazeeki vile
 
Hebu acheni hizo jamani, mwanamke kua mbabe havina mahusiano na mapenzi maana kama mimi nifah ukiniona huku JF utaogopa ila mambo yangu anayajua.......!
Hahahahabaa

Aaaah we mbona hata humu tu unaonyesha siyo mbabe bana, ujue hata kupita michango ya humu tu unawezawajua, mfano madam B, kongosho, BADILI TABIA, pretta (ila usiwaite ndg yangu wasije wakanirarua looh)

Vile vile hata kuigiza kunaonyesha yupi mbabe, mfano norah, johari wala si wababe. Kwahiyo hata ukiwachezesha nafasi za kibabe bado watapwaya tu, hawawezi kumfikia Nina

Na bahati kaolewa na mwenye nazo ndo maana hawezi kuonyesha ubabe wake waziwazi, angepata wa kawaida tu weeee!!
 
sintah kwa sasa elimu yake inambeba na amesoma km sikosei anafanya postgraduate pale kurasini

Sintah nakumbuka alisomeag mambo ya uandishi wa habar, yuko vzr, nasikia kajiendeleza mwenyewe
 
Enzi hizo nilikuwa nakisista duu flani Street, basi tulijibatiza majina mimi ndio Dr cheni, chenyewe ni Nora, dah kweli Enzi hairudi vooo

Ahahahah umenichekesha, kama ilivyokuwa kwa wema na diamond, nyie aya maisha bwana kila kitu kinapita
 
Hilo la kuuliza kweli?

Na sandra nae alikimbiza, nakumbuka wimbo wa dudu baya nakupenda mpenzi yeye alikuwa ndo video queen utamtaka sasa? Ila sandra na yeye bado kisa yule
 
Sauti yake ilikuwa nzuri balaa akiwa anaongea kama yupo nje ya nyumba na ww upo ndani lazima utatoka kumuangalia ni nani! ?hop sauti bado ipo haijazeeka

Ahahahah, sauti inazeekaga? Yani ana sauti nzuri balaa yani
 
Norah umaarufu umeisha ila urembo wake unamvuto sana kama hazeeki vile

Yap, ana uzur wa asili yule, sio hawa kila kitu wananunua, maana enz zao kulikuwa hakuna filter wala ma les wigi ya bei na bado walikuwa wakal
 
Aaaah we mbona hata humu tu unaonyesha siyo mbabe bana, ujue hata kupita michango ya humu tu unawezawajua, mfano madam B, kongosho, BADILI TABIA, pretta (ila usiwaite ndg yangu wasije wakanirarua looh)

Vile vile hata kuigiza kunaonyesha yupi mbabe, mfano norah, johari wala si wababe. Kwahiyo hata ukiwachezesha nafasi za kibabe bado watapwaya tu, hawawezi kumfikia Nina

Na bahati kaolewa na mwenye nazo ndo maana hawezi kuonyesha ubabe wake waziwazi, angepata wa kawaida tu weeee!!

Sandra nae alikuwa kisu yule
 
Ivi nyaso yupo? Yule mdada aliyekuwa anaigiza kama teja, nilikutana nae mwaka juzi chuo cha uandishi wa habar, jaman alikuwa mzuri yule aiseeh


alikua mrembo balaaa namkumbukaaaa
 
Back
Top Bottom