ahahaha!!mimi sipendi na wala sio bonge nyanya ila siwezi kumlaumu mwanamke bonge nyanya ambae ameolewa na ana amani na ndoa yake,kuna watu wengine wakifanya mazoezi ndio kwanza wananenepa,hata akifanya diet bado hawezi rudia shepu yake ya mwanzo,wacha tuwe mabonge banaaah!!
mmebeba shida zetu zote kuanzia Chumbani mpaka nje kwanini tusiwe mabonge?ahaha(kidding)
BTW
hongereni sana wanaume kwa kututunza,tunaolewa tukiwa wembambaaa ila nikija kwako mwaka mmoja tu nafanana na tembo!halafu nyie wala hamna jema,niwe mwembamba utachepuka!niwe bonge utachepuka!niwe mzuri kama malaika bado tu utachepuka!aaargh
wacha tuwafaidi bwana mmeumbwa kwa ajili yetu!
😀😀😀 mito