Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Ila naona kama walishindwa kutumia fursa, mamake sidhani kama wametoka kimaisha

Na ndo kosa walilo lifanya wote kutokujiendeleza kimaisha waka fulia. Sintah yeye ilikua kuhangaika na kujiita eti Jlo wa bongo na kufukuzana na Juma nature.
Hata wasanii wengi wa sasa wanadhindwa kutumia umaarufu kutafta pesa matokeo umaarufu ukiisha wanakua choko.
 
Huyu alitesa sana kipindi chake na mganga wake Ng'wizukulu Jilala...R.I.P

Halafu huyu mganga ndo alianza kufifisha nyota ya Norah, sijui aliingiaje mkenge naye
 
Hahahahaaa, fursa gani? Umeniacha hoi sana.

Ulimwende plus maarufu wao waliokuwa nao enzi hizo, unajua kwenye media za udaku alikuwa yeye na sintah mostly

Sasa Norah ndo huyo akalaghaiwa na mganga
Sintah akawa anatoka na low class kama Juma nature, ingawa baadae alipataga mfanyabiashara mwanza ndo akapotelea huko mazima
Unless kumbukumbu zangu haziko sawa
 
Hahahahaaa, fursa gani? Umeniacha hoi sana.

Ivi nyaso yupo? Yule mdada aliyekuwa anaigiza kama teja, nilikutana nae mwaka juzi chuo cha uandishi wa habar, jaman alikuwa mzuri yule aiseeh
 
Na ndo kosa walilo lifanya wote kutokujiendeleza kimaisha waka fulia. Sintah yeye ilikua kuhangaika na kujiita eti Jlo wa bongo na kufukuzana na Juma nature.
Hata wasanii wengi wa sasa wanadhindwa kutumia umaarufu kutafta pesa matokeo umaarufu ukiisha wanakua choko.

Exactly!!
 
Hiv Dr cheni alikuwa anakaapo au ndo zilikuwa kiki za kipindi kile
 
Na ndo kosa walilo lifanya wote kutokujiendeleza kimaisha waka fulia. Sintah yeye ilikua kuhangaika na kujiita eti Jlo wa bongo na kufukuzana na Juma nature.
Hata wasanii wengi wa sasa wanadhindwa kutumia umaarufu kutafta pesa matokeo umaarufu ukiisha wanakua choko.

sintah kwa sasa elimu yake inambeba na amesoma km sikosei anafanya postgraduate pale kurasini
 
Enzi hizo nilikuwa nakisista duu flani Street, basi tulijibatiza majina mimi ndio Dr cheni, chenyewe ni Nora, dah kweli Enzi hairudi vooo
 
Yap ndo huyo hyo, ana jicho flan iv amazing, na yupo makini sana, sio ----- ----- yule, sijui imekuwaje kaolewa, maana alikuwa mbabe hatar

Mi mwenyewe nilikuwa namuona mbabe balaa, nikawa najisemea huyu mimi ni big No hata nikipewa na ghorofa juu
 
Huyu alipigwa picha anapigwa miti gesti sinza na kondomu ziko pembeni !
 
sintah kwa sasa elimu yake inambeba na amesoma km sikosei anafanya postgraduate pale kurasini

Bora alikumbuka kwenda shule aisee maana bila hvo naye ingekua historia. Wasanii wengi umaarufu una waharibu na kusahau shule.
 
Bora alikumbuka kwenda shule aisee maana bila hvo naye ingekua historia. Wasanii wengi umaarufu una waharibu na kusahau shule.

yap alisomaga uganda na besta km sikosei

mi nampenda kwa sasa anajituma hategemei mabwana aishi
 
Back
Top Bottom