Kafanyaje tena binamu? WAp uko sijaipata aisehh, kama ni nyet sana twende zet pm
Kafanyaje tena binamu? WAp uko sijaipata aisehh, kama ni nyet sana twende zet pm
Mumewe muuza sembe
Sasa ivi kabaki na magazeti yake mwenyew ,anatiaje huruma, aya maisha aya, enzi izo yeye na sintah ndo madada duu wa ukweli apa town, ila sema sintah na norah ni wazur mpaka kesho, hawana mpinzani
yap alisomaga uganda na besta km sikosei
mi nampenda kwa sasa anajituma hategemei mabwana aishi
Warumi katika ubora wake!!!Kafanyaje tena binamu? WAp uko sijaipata aisehh, kama ni nyet sana twende zet pm
Na ndo kosa walilo lifanya wote kutokujiendeleza kimaisha waka fulia. Sintah yeye ilikua kuhangaika na kujiita eti Jlo wa bongo na kufukuzana na Juma nature.
Hata wasanii wengi wa sasa wanadhindwa kutumia umaarufu kutafta pesa matokeo umaarufu ukiisha wanakua choko.
Ashabaki na magazetiii Tu kumbe wanapenda kuandikwa eeee
besta tangu marlow amuoe imekuwa historia,mtoto alikuwa na ushepu yule kama Wellu sengo hivi mshepu wake!!
mtoto mzuri yuleee bestaa
Sasa ivi wamebaki na uzuri wao tu, washukur mungu enzi izo akina dallas na CK walikuwa bado hawajaja mjini, maana wangechakazwa na izo sura zao zingefubaa, ila bahat nzuri wamebak na uzuri wao
Tena!!mi mwenyewe nina mpango wa kuingia bongo movie soon!Nimeshachonga na JB tayari kila kitu kiko mswano,nikishatoka tu nakupm.ahahahaha!!
Na masumu juu eti anafatiliwa na GPL (sintah) lol!
hayaa utaniambiaaa eee