Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Picha: Norah ajikumbushia enzi zake

Mkuu, huyu binti nilikuwa naelewa sana swaga zake, na.pozi zake za jicho lake ,

Alikuwa ana swaga flan ivi za kibabe, nae alikuwa kisu, nilipenda kwenye filamu ya girlfriend alivyompa kichapo cha mwizi monalisa
 
Nilikutana nae anasukuma prado kawa mzuri hatar, bora aachane na bongo mavi maana enz zao ilikuwa hailip

Mi Nina nikikutana naye sahv sidhan kama ntaweza kumkumbuka. Nyamayao nilimuona kwenye kipindi cha Mboni sikuhizi kawa mweupe
 
Alikuwa ana swaga flan ivi za kibabe, nae alikuwa kisu, nilipenda kwenye filamu ya girlfriend alivyompa kichapo cha mwizi monalisa

Nimefungua mafail yote nilioweka na kuvuta picha yake, napata picha ya mtoto mmoja aliekuwa Brown hivi, jicho la ashk mwembamb kidizain, ila angepata inyee ingekuw habari ingine....Scene za ubabe na drug dealerz zilimfaa sana
 
Kila jambo na zama zake na wakati wake. Yeye na Sintah walitishaga mno enzi zao.

Ila wale bado sura zinalipa, nilipendag collaboration ya nora na johar kwenye movie ya mtitu ya dangerous desire, walikimbiza sana wale
 
Alikuwa anamfikia Clement au marehemu secky kwa kuhonga? Akina nora enzi zao sisdhan kama walikuwa wanahongwa magar wale

Ila hakua masikini binamu, hii story nilipewa na ndugu yake basi tu nisiseme sana....si unajua mambo ya fake id's?
 
Mi Nina nikikutana naye sahv sidhan kama ntaweza kumkumbuka. Nyamayao nilimuona kwenye kipindi cha Mboni sikuhizi kawa mweupe

Nina ukimuona hauwezi kumsahau, waigizaji wengi wa kaole walikuwa wanafahamika sana, maana walikuwa wanaonyeshwa kwenye michezo ya Tv, ilikuwa hulipii, tofauti na mastaa wa sasa ivi kama hautanunua CD zao huwez kuwajua, na wengi wanabebwa na magazeti na instagram, ila akina mhogo mchungu na bi staa wale walijulikana kila kona ya jiji
 
Nimefungua mafail yote nilioweka na kuvuta picha yake, napata picha ya mtoto mmoja aliekuwa Brown hivi, jicho la ashk mwembamb kidizain, ila angepata inyee ingekuw habari ingine....Scene za ubabe na drug dealerz zilimfaa sana

Yap ndo huyo hyo, ana jicho flan iv amazing, na yupo makini sana, sio ----- ----- yule, sijui imekuwaje kaolewa, maana alikuwa mbabe hatar
 
Yap ndo huyo hyo, ana jicho flan iv amazing, na yupo makini sana, sio ----- ----- yule, sijui imekuwaje kaolewa, maana alikuwa mbabe hatar

Mkuu, hata simba na ukali wote una pakatwa kama kawaida
 
Ila hakua masikini binamu, hii story nilipewa na ndugu yake basi tu nisiseme sana....si unajua mambo ya fake id's?

Ni kweli nilisikia alikuwa tajir mno, hadi waigizaji wenzake waka mroga nora akawaga chizi, maana alikuwa ana kismati mwenyewe wakamroga, ni kwl bwana ake alikuwa mambo safi
 
Sasa ivi kabaki na magazeti yake mwenyew ,anatiaje huruma, aya maisha aya, enzi izo yeye na sintah ndo madada duu wa ukweli apa town, ila sema sintah na norah ni wazur mpaka kesho, hawana mpinzani

warumi mke wangu hawakumfikia...,yuko vizuri wewe acha tu,
 
Ila wale bado sura zinalipa, nilipendag collaboration ya nora na johar kwenye movie ya mtitu ya dangerous desire, walikimbiza sana wale

Jamani hawachuji hawa watu hafu umenikumbusha movie ya dangerous desire hadi shule ikaletaga msamiati wa mshika pembe mweeh.
Yani kuanzia Nora Johari sintah mvuto wao hachuji tofauti na hawa Bongo movie.
 
Jamani hawachuji hawa watu hafu umenikumbusha movie ya dangerous desire hadi shule ikaletaga msamiati wa mshika pembe mweeh.
Yani kuanzia Nora Johari sintah mvuto wao hachuji tofauti na hawa Bongo movie.

Halafu vipaji vyao halisi yani, ningependa kuwaona tena pamoja...
 
Back
Top Bottom