Haya baba. Tumekuzoea kwa kuficha mambo ukianzia na Richmond.
Kama POLISI hawataki kuongea ukweli,ulitaka Mwakyembe aseme nini?Au ukienda MAHAKAMANI wakasema ushahidi wako hautoshelezi utafanya nini?
Afya inaendelea vizuri, kwanini anavaa kofia ofisini na joto lote hili? Hii kitu ikishaingia kwenye bone marrow ni mgogoro sana! Hata hivyo nakutakia kila kheri, damu asimame nawe.
avue kofia kama kweli kapona.................
Safi saaana. Karibu jembe letu.
Siamini kama ameongea kwa ufupi kiasi hicho, kwani watanzania siku zote wamekuwa wakisononeka juu yake na kumuombea kila siku, leo aje atoe matamshi ya kuwakatisha tamaa kiasi hicho! mimi siamini hadi nipate taarifa kamili!
"kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza"jembe limepiga kutu halwezi lima tena hilo!!
Ameonywa huyo...akafie mbele. Kimya kimya utasikia alishavuta huyu. Mpiganaji ndani ya magamba, wapi bwana. ndiyo...kwisha, full stop!