Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Hujarest in peace hujaumbika!
teh politics is wat we tanzania are really experiencing. ivi yeye kusema mjadala umefungwa manake nini? In tz ndo nchi pekee inayofikiri wananchi ni mbumbumbu sana. yaaani kama huyu huyu ndo aliekuwa analalamikia uhuni aliofanyiwa leo hii haki yake kaipatia wapi? NI WACHACHE SANA IVI TUNAOFAHAMU KUWA LOWASSA NA MWAKYEMBE WALIKUTA LONDON MWANZONI MWA MWEZI HUU BAADA YA LOWASSA KUTOKA UJERUMANI NA MWAKYEMBE KUTOKA INDIA ATUAMBIE KIKAO CHAO WALIJADILI NINI PASIPO KUMTAJA MTU ALIYE WAKUTANISHA..... WA?????????? TANZANIA INAPOELEKEA TUKAE MKAO WA KUKIMBIA INCHI COZ TIME YA KUSEMA ENOUGH IS ENOUGH INAAPROACH MNOOOOO... ANYWAY UMRI WANGU UNANIRUHUSU KUENDELEA KUSHUHUDIA MENGI KWA NEEMA YA MUNGU, KANAANI NITAINGIA.
acha tabia za kike wewe ndio mnafki mkubwa kenge wa mwisho wee.dr yupo fiti kwa lolote.