Picha mkutano wa Mh Mbowe-Mwanza

Picha mkutano wa Mh Mbowe-Mwanza

Hii nchi hata tusipopata katiba mpya mara hii naona msingi uwekwe kwa daftari na NEC, katiba mpya tutatengeneza 2016
 
pamoja xana kamanda Mbowe, piga kazi baba!
 
Chadema ni chama cha Watanzania wote,taswira hii inaonyesha Watanzania sasa wameamka na hawawezi kurubuniwa tena na akina ZZK na kundi lao la MM kwa msaada wa hujuma kutoka CCM-Lumumba.
Niwape hongera makamanda wetu viongozi wa Chadema kwa kujenga taasisi yenye nguvu na siyo viongozi wenye nguvu.
 
pikipiki.JPG pikipiki.JPG DSCN0917.JPG gari cdm.JPG redbliged.JPG
 
Ndugu zanguni wana mageuzi mimi nimefurahishwa sana na mkusanyiko mkubwa huo wa wanainchi-Mwanza.Hii inaonyesha kuwa Chadema ni Taasisi Imara yenye Nguvu na vinginevyo.

SWALI LANGU NI JE, MBOWE AMEZUNGUMZIA NINI KWENYE MKUTANO HUO KUKIDHI HAJA YA WANAINCHI KATIKA MAMBO YANAYOWAKERA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.....???
NAOMBA JIBU
 
Jamani hapo ni nje ya mji,ingekuwa viwanja vya furahisha,magomeni au tahirir squera (sahara) isingetosha
 
Ina maana picha iliyopatikana ni moja tu?
mkuu ingine hii hapa. nimeikuta kule facebook kwa jamaa flani. lazima tulinde hadhi ya viongozi kwa kuonyesha kile kitakachowauza tu. na si vinginevyo.
1464761_720155761330940_750840995_n.jpg
 
Back
Top Bottom