Kamanda wa anga mkutano wa Mwanza leo
Alikuwepo kwa mabina au ??
Hii ni Chadema Mwanza ambako walisema imegawanyika au picha wa 2010 ? Sixgate na wenzako mko wapi ?
Mabina ndo yule kapigwa ngeta na wananchi
Hamna kitu CDM,siku zao zinahesabika.