Picha mkutano wa Mh Mbowe-Mwanza

mpango wa Mungu hauhujumiwi na wachawi na wasaliti
CDM ni mpango wa Mungu kwa watu wake
 
attachment.php

Hii taarifa ni mbaya sana kwa chama cha misukule.
CC: Ritz
 
Last edited by a moderator:
Kamanda wa anga mkutano wa Mwanza leo

Bado nauliza wadau wale mapandikizi wa mabango na maandamano walikuwa wa kigoma pekee mbona hawaonekani tena?
Kweli nimeamini ni kwa nini Yuda alimsaliti mwana wa adamu kwa kumbusu, mie nilishawaambia hata marafiki zangu kuwa mbinu wanazotumia ccm kuidhoofisha cdm ni za zamani saaana ambazo ziliweza kusambaratisha cuf na nccr wakati uleee watz wakiwa hawajajitambua saa hivi hata wafanyaje hawachomoki.
"HAKIKA NAWAAMBIENI NI RAHISI SANA MASALIA KUJIENGUA CDM MAPEMA KULIKO CCM KUIUA CDM"
 
Hii ni Chadema Mwanza ambako walisema imegawanyika au picha wa 2010 ? Sixgate na wenzako mko wapi ?
 
Hii ni Chadema Mwanza ambako walisema imegawanyika au picha wa 2010 ? Sixgate na wenzako mko wapi ?

Nami nasema kwa hali hii hata ------ ya Chris Lukosi na yule dume jike Faizar Faix hayaonekani hapa, wote kimya!! Chezea Chadema wewe!! hip hip ! Pipooozz ......!!!
 
Watanzania wameanza kutambua siasa na mbinu zake,hakika ni kazi kubwa zaidi kuwarejesha kwenye siasa za kizandiki na hujuma za kinafiki.Wapo tayari kuhakikisha wanajipatia ukombozi wa mara ya pili pamoja na chama makini(CHADEMA),CCM wamejaribu mbinu nyingi wameshindwa,karata kuu na tegemeo waliyobakia nayo ni ZZK,watanzania kwa pamoja tuhakikishe tunazid kuimarisha umoja wetu kuuondoa utawara dharim uliofitinika.Kipaumbele kwetu ni kuondoa hawa wezi,hayo ya Zitto akaulize UDP,CUF,NCCR,TLP etc kuwa tokea vimeanza 1992 vimebadilisha wenyeviti mara ngapi?Tuhamasishane kujiandikisha january na kujitokeza kupiga kura kwa wingi ngapi kipindi cha uchaguzi?
 
chadema yatisha....ngoja nisake kadi nijiunge mara moja....viva chadema
 
Wakati CDM wanafanya mikutano, CCM kupitia buku 7 Lumumba Project wao wanahangaika na mitandao ili kuichafua CDM wakidhani wanachama wapya wapo katika mitandao!!

1378528_621377627913562_1439553841_n.jpg
 
Hamna kitu CDM,siku zao zinahesabika.

Duuh,ila kuna watu ni wabishi kama vichawi vile. Hivi kweli huo umati wote wa watu bado hujakubali kuwa CDM ipo mioyoni mwa wananchi wa nchi ya TANZANIA? Naona kichawi wewe,huna hata soni kubisha kitu kinachoonekana.
 
Back
Top Bottom