manumbu1
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 715
- 407
Kamanda wa anga mkutano wa Mwanza leo
Mbona huu ni mkutano wa Arusha?
Kamanda wa anga mkutano wa Mwanza leo
Jamaa wa matamko na vibango vyao hawakuwepo?
Mbona huu ni mkutano wa Arusha?
Wapi Misukule ya zito!
Mbona huu ni mkutano wa Arusha?
Mbona huu ni mkutano wa Arusha?
Jamani hebu tujiulize alafu tuchukue hatua chadema imeteuliwa na mungu sio kama vyama vingine tuiunge mkono mwaka 2015 ili waingile magogoni
Bado nauliza wadau wale mapandikizi wa mabango na maandamano walikuwa wa kigoma pekee mbona hawaonekani tena?
Kweli nimeamini ni kwa nini Yuda alimsaliti mwana wa adamu kwa kumbusu, mie nilishawaambia hata marafiki zangu kuwa mbinu wanazotumia ccm kuidhoofisha cdm ni za zamani saaana ambazo ziliweza kusambaratisha cuf na nccr wakati uleee watz wakiwa hawajajitambua saa hivi hata wafanyaje hawachomoki.
"HAKIKA NAWAAMBIENI NI RAHISI SANA MASALIA KUJIENGUA CDM MAPEMA KULIKO CCM KUIUA CDM"
Maccm kichefuchefu, yule mwenyekiti uchwara wa matawi 189 yu wapi???? zzk huo mziki unaweza kuucheza???? karaghabhaho
Kamanda wa anga mkutano wa Mwanza leo
Ni wachache ukilinganisha na mikutano Yake aliyofanya awali