Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Picha: Miji ya Luanda nchini Angola

Tutaendeleaje wakati mawaziri wachapakazi wanapingwa na watawala, nakumbuka Magufuli na Mwakyembe walipotaka kutanua road za dar wakazuiwa na raisi wao cha ajabu wakahamishwa wizara kabisa. If we want to develop we must go to war ata marekani wana maendeleo kwa sababu kila siku wanashinda vitani
 
Ndo maana wazanzibari wanadai mamlaka kamili kumbe washajiona kwa mtindo huu ni sawa sawa na mlemavu wa miguu
 
luanda_bay.jpg
Hiii ndio Ocean road yao ila hawapigi roba
 
Ngoja na sisi tuanze kupata hela za gesi....!
Mkuu matumizi ya hela ni tabia ambayo unaijenga tangu una milki kiasi kidogo cha fedha, hivi tulivyonavyo vichache tu tumeshindwa kutumia kwa ufanisi, ikija mafuta si ndio na mishahara watunga sera watajiwekea mikubwa hasa ukizingaia mapato mengi ya Tanzania yanakwenda kwenye shughuli ambazo hazizalishi kama utawala na mambo mengine kibao na hiyo miradi ya maendeleo ni mikopo
 
Mpaka sie kuwafikia kimaendeleo tunahitaji nguvu na jitihada za ziada haswa.
Mbona tumekata tamaa, hiyo taswira ya Luanda ime-reflect uchumi wa nchi ya Angola nzima au tunaangalia nini mpaka tunafikia hatua ya kusema wao wameendelea, nitakubaliana kama tufanya ulinganisho na jiji letu kuu la kibiashara la Salidalama hapo naungana na wewe kwamba kunahitajika nguvu na jitahada za ziada haswa
 
ngudu yangu kw mji kama Dar huenda ikatugharim sana lakini kuna miji inayokua kwa kasi kama Mwanza,Arusha,Mbeya na Dodoma serikali ikiamua kuipangilia hii miji mapema tunaweza kuwa mara mbili ya jiji la luanda
Unachosema kwa miji inayokuwa lkn kwa serekali hii tutasubiri sana kama Arusha tayari tushachelewa labda miujiza ila sio viongozi hawa hawa.
 
Picha nzuri sana. Wareno walipanga huo mji vizuri. Kama wajerumani walivyozipanga Tanga na Moshi.

Natamani wengi waliochangia wangeonyesha walau wamefanya/wanafanya nini kupiga hatua kuelekea maendeleo makubwa zaidi ya tulipo. Wengi wameishia kulaumu.

Ni sawa na kuona jirani kanunua gari, badala ya kushauriana ndani ya familia namna ya nyie kusonga, mnaishia kutukanana, kuzodoana na kuitana majina!! Hapo, mchawi ni nyie wenyewe.

Picha kama hizi zitupe hasira ya kubadili yanayoturudisha nyuma. Na cha kwanza ni mtu mwenyewe. Tusiangalie mbali. Mtazamo chanya na kujibidisha ni mwanzo wa kuelekea pa kuja kupigiwa mfano.

ANGALIZO: hivi kwanini katika hizo picha 'hakuna' watu? Hao wachache walioonekana wana hali za kawaida sana ukilinganisha na 'utamu' wa kimcharo wa hizo picha!!! Kuna kitu hakiko sawa......

MAENDELEO YA KWELI HULENGA WATU......
Mkuu kuna kiongozi gani Tz ambaye unaweza kumshauri, au wewe umefanya nin kuibadili hali hii tulionayo kwa mf. ile barabara ya morogoro kwa nin imeachwa 2 lane ? kwa kiongozi mwenye kuangalia mbele angeweka angalau 3 lane lakini huyu mnaye msifia ndo ameipa kipaumbele BRT na kusahau mambo ya muhimu
 
sicheki kwa mazuri.. u nailed it all, Dar ni kichaka tu hakuna lolote

Anyway nilikufananisha na rafiki yangu wa zamani.. A Rwandese GIRL alikua anaishi Masaki, yeye kila siku route zake z vacations ni Singapore, Malaysia and the likes

Thats Me,if wewe n Henry....mambo poa lakin
 
Mkuu kuna kiongozi gani Tz ambaye unaweza kumshauri, au wewe umefanya nin kuibadili hali hii tulionayo ...

Mimi ni mmoja wa walioleta mabadiliko Arusha kupitia sanduku la kura. Wenye nia njema watashuhudia Arusha kiutendaji ni bora zaidi wakati huu ikiwa chini ya upinzani.

Wenzetu walipigana vita miongo kadhaa wakitaka mabadiliko. Sisi tutumie demokrasia japo ina maumivu yake kiasi. Tusilaumu ilhali tuna uwezo kubadili hatima zetu.

Sasa, hebu niambie, mbona hizo picha umeposti hazina watu kunogesha hayo mandhari? Au Luanda si ya wote? Kwanini wachache wanaoonekana hawapo 'kimcharo' wakati jiji lao tamu hivyo?
 
... we are just useless. ...

Mkuu, jisemee nafsi yako. Nawajua wengi tu ambao ni 'useful' mimi mmojawapo. Na ninatumia ipasavyo kila fursa kuchagiza maendeleo kwangu na wanaonizunguka.

Waliofanikiwa walijibidisha na kufanya uamuzi binafsi na shirikishi kubadili hali zao.

Walalamishi hubaki na hayo maneno na huwa hawakosi cha kulaumu/kutoa kasoro kwani hawana cha kujivunia.

Kwa ID yako, nataraji utabisha :-D
 
Kitu kingine nilichojifunza kwenye uzi huu, kumbe 'billboards' ni uchafu, kwenye hizi picha sijaziona kama lilivyojazana huku kwetu!
 
Mtaota kupata mafanikio kama haya iwapo ccm itaendelea kuongoza.
CCM sio chama ni genge la wahuni. Kuwa mwana CCM hata Mungu humwogopi tena
Nasema hv mtaendelea kuota
 
Back
Top Bottom